Ona jinsi Israel itakavyoshindwa vita safari hii ambako wengi hawajaona

Si kila ndoto uliyoota lazima uhadithie watu.
 
umeshaambiwa Gaza itapandishwa bendea ya israel na atakataka kukaa pale ni lazima awe raia wa Israel
 
Mzee wa Mpitimbi una intelligence kali kuliko MI6 na CIA [emoji38]
 
Mzee wa Mpitimbi una intelligence kali kuliko MI6 na CIA [emoji38]
Nashukuru umeliona hilo.
Sisi huwa tunasema haadha min fadhli rabiy.Yaani hiyo ni neema kutoka kwa Mola wangu.
 
Wanafunzi wa Yesu wakamwambia Bathelomayo kipofu ; ( Jipe moyo anakuita)
 
Umeongea point sana , na gharama za kumatain vita sio lelemama
 
Hua hamueleweki,Kuna muda mnajikuta wababe na Hamas wenu, Kuna muda mnatia huruma eti Israel ni makatili

Tushike kipi sasa?
Yaani. Unahitaji ujasiri wa hali ya juu kuwaelewa. Anyway, vita hivi ni vya wazo. Mwisho wa siku itajulikana tu.
 
We unaota Israel wanatafuta pakukimbilia huko Gaza, wanaomba Qatar iwasemeshe Hamasi wasimamishe vita masaa 72 ili hivyo vifaru vitoke salama hapo Al shifaa hospital

Hamas sasa hivi wanaogelea na mabikira 72 kwenye mito inayotiririka Heineken na Jack Daniels
 
Hamas sasa hivi wanaogelea na mabikira 72 kwenye mito inayotiririka Heineken na Jack Daniels
😄 Hizo bikra 72 mmezikazania sana hebu nionyeshe wapi kwenye Qur'an zimeongelewa pamoja na hizo Heineken na Jack bado kweli ukristo ni uzushi
 
😄 Hizo bikra 72 mmezikazania sana hebu nionyeshe wapi kwenye Qur'an zimeongelewa pamoja na hizo Heineken na Jack bado kweli ukristo ni uzushi
uzushi gani sasa wakati wafuasi wa allah wanaaamini ukiua kafiri una thawabu yako huko peponi?!
 
uzushi gani sasa wakati wafuasi wa allah wanaaamini ukiua kafiri una thawabu yako huko peponi?!
Qur'an inakatazaa kuuwa bila haki yani hata sisimizi ni kosa kumuwa, ikubali ukauwe binadamu, tatizo nyie hamfahamu wabeba misalaba we jambazi ukuvamie uwauwe watoto zenu. Ndugu zenu, Mama zenu we usijibu hapo ni kosa.

Ukijibu wewe ni Gaidi wao wakiwauwa ni self-defence 😄
 
Vp isis, alshabaab, bokoharam nk mbona wanaua watu ili kusimamisha caliphate?!
 
Abu Hamza: We announce the death of the settler, “Hanna Katzir,” whom we had previously expressed our willingness to release - for humanitarian reasons - but the enemy’s procrastination led to the loss of her life. In light of this announcement, we renew our affirmation of disclaiming our responsibility towards our enemy prisoners in light of the barbaric and frenzied bombing on every inch. In the Gaza Strip November 21, 2023
 
Wanaua mpaka watu wao wenyewe .Ni aibu ya kivita kama ile ya Ukraine wanaotumia silaha kwa zamu mstari wa mbele baada ya kuishiwa kwa silaha,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…