iko poa sana hiyo wazungu wanajua, hizo njia za asili ni zipi ikiwa wadada wengi karibu nusu ya miili yao wanatumia kemikali.?Hzi mambo za sasa za matumizi ya kemikali ndo zinazoleta shida.
Turudi tu kwene asili yetu.
😂 Kuna mmoja nilimuonea huruma nikamwambia aende hospital oya Mpka Leo nachukiwa htr mm ndy adui yake namba mbili akitoka shetaniNi kweli hivi vidada vingi vya mijini hasa hivi mnaita "vislay kwini" sijui "pisikali" vina shida hii lakini hata baadhi ya wamama nao wana shida hii.
unakuta ukiingiza mb.oo ukeni sasa pale unapoichomoa ndo inatoka na harufu hiyo mbaya kali na nzito kama ile ya ng'onda au kitu hai kilichooza uko ndani ya uke. yani usiombe kukutana na hii kitu inakata stim zote yani utafukuza uyo mtu apoapo.
kule vijijini uwezi kukutana na mambo kama haya. haya yapo mijini zaidi.
mm nazani ni sabab watu wanakula mno vitu vya kukaanga mfano machipsi haya na vitu vya viwandani vyene makemikali mfano hizi soda na hawanywi maji ya kutosha. mm uwa naamini sana kwene vyakula vya kuchemsha (badala ya vile vya kukaanga) na matumizi ya maji ya kunywa ya kutosha.
mbaya zaidi wahusika hawapo tayari kuambiwa wana tatizo. yani ukitaka matatizo mwambie dem ana hiyo harufu mbaya haivumiliki hawakubali ng'oo na utanuniwa mazima.
Uvaaji wa suruali nao ni janga kubwa,sio harufu tu hata ongezeko la magonjwa ya fangasi sehemu za siri kwa wanawake ni kubwa sana.Mtu anavaa suruali wiki nzima,anaishi maeneo yenye joto kali unategemea nini,hivi unafikiri aliebuni vazi la mwanamke kuwa gauni au sketi alikuwa hana akili.Mwanamke anazurura na suruali siku nzima jioni anaenda kukutana na mwanaume unategemea nini hapo...Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya!
Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta.
Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa nikitumia wa mjini ambao hakuna shaka kuwa wanajua haswaa kuoga!
Hili ni tatizo wadau! seriously, ni tatizo. Sijajua shida ni nini kati ya vyakula, mavazi, mapambo, vinywaji au mabadiliko ya tabia nchi!
Naomba mawazo yenu wadau, simaanishi kudhalilisha it's all about stating the facts!
hawa wanazingua balaa😂 Kuna mmoja nilimuonea huruma nikamwambia aende hospital oya Mpka Leo nachukiwa htr mm ndy adui yake namba mbili akitoka shetani
Hili nalo ni sababuUvaaji wa suruali nao ni janga kubwa,sio harufu tu hata ongezeko la magonjwa ya fangasi sehemu za siri kwa wanawake ni kubwa sana.Mtu anavaa suruali wiki nzima,anaishi maeneo yenye joto kali unategemea nini,hivi unafikiri aliebuni vazi la mwanamke kuwa gauni au sketi alikuwa hana akili.Mwanamke anazurura na suruali siku nzima jioni anenda kukutana na mwanaume unategemea nini hapo...
Huwa nashangaa sana huko Instagram watu wanavyonunua vipipi, makorokoro baadhi ya wanawake wananuunua wanaweka huko chini.... So sad indeed.Maoni yangu ni haya;
Makungwi uchwara; kumeibuka wimbi la makungwi wenye products mbalimbali za kubana ,sijui kukata harufu mtu unaweka ukoko wa ugali, vanilla , limao , asali sijui pipi kifua wadada wengi hutumia na kuishia kupata magonjwa ambayo hata hayajulikani.
Mavazi ; unakuta mdada anashinda nguo za ndani kutwa nzima mchana jeans,tyt na kufuli usiku analala hivyo hivyo.
Usafi;unapoenda washroom unahitajika ujisafishe usipojisafisha harufu itajitokeza.
Magonjwa; either fungus or uti
Vyakula; unahijika kunywa maji sana ili kusafisha kibofu lakin unaweza kuta mchana mzima mtu anakunywa glass moja na soda soda nyingi.
SijakuelewaHarufu ya k Ni aphrodisiac. Ndio maana wanao wanawa ma barmaid huwa hawanawi mikono.
Nilikua nasoma comments tuu, wasichokijua wanaume wadada wengi wanaonuka nikwasababu ya umalaya tuu...wachache wanakua na maambukiz ya kawaida, yaan ukishachanganya majasho ya wanaume lazma unuke tuu mbegu zina shombo sana ku..ma,[emoji44]niNilitegemea kuona maon mengi ya wanawake kwenye huu uzi ila naona wengn wanaukaushia au wanaukimbia sijui ndo ikulu yenyewe wamepgwa
DefamationUkweli mchungu, hasa ukutane na cute wife utakoma. Kama panya aliyekufa
Sio wote wanaonuka ni Malaya wengine wamesababishiwa na wauguzi wa Afya kipindi Cha kujifungua mtoto kafia tumboni kuanza kuugua fistura shida ndio inaanzia hapo mda mwingi anakua anatokwa na harufu alafu fistura ni ugonjwa wa aibu sana,Wengi malaya ndio maana wananuka, wanafanya huku hawajisafishi
Cute Wife Countrywide ashawahi kukunusa maeneo ya site ?Ukweli mchungu, hasa ukutane na cute wife utakoma. Kama panya aliyekufa
Percentage ndogo sana hii mkuu. Sidhani hata kama inafika 1%. Nakubaliana na Esther hapo juu. Ukishaanza biashara ya kuchanganya mb% ni very easy kupata infections. Iko ivyo yani. K ya mwanamke ni kiungo very sacred. Mungu aliiumba kwa upekee mno. Lakini inapoanza kutumika kinyume na mapenzi yake, tena kwa karne hii ambayo kuna many sexual infections, si rahisi kutoboa.Sio wote wanaonuka ni Malaya wengine wamesababishiwa na wauguzi wa Afya kipindi Cha kujifungua mtoto kafia tumboni kuanza kuugua fistura shida ndio inaanzia hapo mda mwingi anakua anatokwa na harufu alafu fistura ni ugonjwa wa aibu sana,