ChatGPT
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 532
- 1,011
🤞Inawezekana pia wakapata tiba kupitia uzi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤞Inawezekana pia wakapata tiba kupitia uzi huu
Ingekuwa ni hivyo vyoo vyote vya bar, kanisani, misikitini, mjini, shuleni, vyuoni, nk vingekuwa ni visafi.Kwani wewe ukienda msalani au bafuni ukikuta kuchafu si unasafisha halafu unatumia.
basi ni hivyo hivyo ukikuta mbususu ina harufu kali hupendezwi nayo safisha halafu utumie. 😁🙃🙌
Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya!
Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta.
Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa nikitumia wa mjini ambao hakuna shaka kuwa wanajua haswaa kuoga!
Hili ni tatizo wadau! seriously, ni tatizo. Sijajua shida ni nini kati ya vyakula, mavazi, mapambo, vinywaji au mabadiliko ya tabia nchi!
Naomba mawazo yenu wadau, simaanishi kudhalilisha it's all about stating the facts!
Hata usiponusa harufu utaisikia tuHuwa unazinusaga?[emoji3]
Afu wanataka tuwatosheleze
Sheria ya unadhifu, inachukua popote iwe hadharani ama binafsi. Usafi ni muhimu. 😁🙃🙌Ingekuwa ni hivyo vyoo vyote vya bar, kanisani, misikitini, mjini, shuleni, vyuoni, nk vingekuwa ni visafi.
Labda kwa sababu ni vitu vya public (sio vya binafsi), hivyo ambae sio wako kabisa akawa kama hivo vitu vya public
Ni kweli, ila haifanyikiSheria ya unadhifu, inachukua popote iwe hadharani ama binafsi. Usafi ni muhimu. 😁🙃🙌
Ndugu wanawake wengi ni wachafu sana hawajui kuoga ndugu na hili ndo tatizo,,,wengi wanaoga mafuta na make up,,,nimefanya utafiti mdogo tu utakuta mwanamke mzima anaenda na maji lita 2 au 3 af anatoka ameoga na amefua nguo zake za ndani huwa najiuliza wanaenda kuosha au wanaoga? Kama hapo kwann asinuke? Pia sik iz wanatumika sana kias kwamba wanapata magonjwa bacteria, fungus au virusKumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya!
Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta.
Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa nikitumia wa mjini ambao hakuna shaka kuwa wanajua haswaa kuoga!
Hili ni tatizo wadau! seriously, ni tatizo. Sijajua shida ni nini kati ya vyakula, mavazi, mapambo, vinywaji au mabadiliko ya tabia nchi!
Naomba mawazo yenu wadau, simaanishi kudhalilisha it's all about stating the facts!
DuuhhhUkweli mchungu, hasa ukutane na cute wife utakoma. Kama panya aliyekufa
Kutokana na asili ya utumbo na hatua za umeng'enyaji chakula, mazingira ya ndani yanahimili hiyo hali kwa muda fulani; kama uchafu hautatoka kwa muda mrefu, utaleta madhara kwenye mwili.Vipi huko nyama haidondokii Mkuu!?
mlishalalana nae?dah JF Kiboko.[emoji15][emoji15]Cute WifeUkweli mchungu, hasa ukutane na cute wife utakoma. Kama panya aliyekufa
Ni kweli hivi vidada vingi vya mijini hasa hivi mnaita "vislay kwini" sijui "pisikali" vina shida hii lakini hata baadhi ya wamama nao wana shida hii.Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya!
Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta.
Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa nikitumia wa mjini ambao hakuna shaka kuwa wanajua haswaa kuoga!
Hili ni tatizo wadau! seriously, ni tatizo. Sijajua shida ni nini kati ya vyakula, mavazi, mapambo, vinywaji au mabadiliko ya tabia nchi!
Naomba mawazo yenu wadau, simaanishi kudhalilisha it's all about stating the facts!
Hzi mambo za sasa za matumizi ya kemikali ndo zinazoleta shida.