Juzi nilikua nimekaa na jamaa yangu mmoja hivi ambae nilimuunganisha ni pisi moja hapa mtaani ambayo ni single maza sasa ndo alikua ananipa mrejesho baada yakukubaliwa na kupewa mbususu kama ilivokawaida mwanaume rijali lazma uchakate mbususu ndani ya siku tatu ikizd sana wiki baada ya zoezi la kutongoza kuisha ikipata muda huo ni kupotezeana muda na inabidi ujitafakari kwa undani zaid unakwama wapi maana hawa watu wapo kimasirahi zaid kama tunavowajua masingle maza wote tabia zao ni moja tu.
Sasa ndo akaanza kunisimilia anajuta yani kitu alokutana nacho hawezi hata kufananisha na harafu ya kitu gani maana hata nguruwe alokufa na kuoza atoi ile harufu hata paka pia hivohvo.
Basi nikakumbuka nam yalinikuta hayo nilikuja dar mwez wa kwanza kwa likizo fupi nilikutana nakitu kama hicho pia yan tulijifunikwa shuka moja lakn kwa hali ya hewa hilo nikajisemea kama nilkua na pumu nilivokua mdogo leo itanirudia au naweza pata hata degedege.
USHAURI: Siku hizi kuna magonjwa mengi kama PID, fungus , ya bacteria kama uti na chlamydia kwahyo wadada fikeni hospital mara kwa mara hapo sijataja kubwa la maadui GONO
View attachment 2635311