Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Oreshnik: Silaha mpya tishio iliyotumiwa na Urusi. Hakuna mfumo unaweza kuzuia duniani, isipokuwa S550 wa Urusi wenyewe

Pia Urusi haina dedicated anti missile system, hiyo S-500 ni air defense missile ina mambo mengi inaunganisha haiwezi kuwa effective kila kitu. Hapo Kerch ilipowekwa ilinde daraja ilishindwa kuzuia ATACMS missiles wakati hazipo hypersonic.
Dedicated system kama THAAD haizuii ndege, drone wala cruise missiles yenyewe ni kazi nzito za ICBM tu.

Ukiitafuta nchi yenye ICBM zenye uwezo wa kawaida (huwa naamini ni Pakistan) ukaiambia ifyatue makombora alafu ukawaita Urusi na Marekani wazuie kwa wanavyotaka wao. Chances za Marekani kushinda ni kubwa wakiweka Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) na Aegis Combat System kuliko Urusi wakiweka S-500 air defense system.
Kuna kitu kidogo hapo unachanganya na kingine ulikuwa hauna taarifa nacho au umeamua kupotosha.

Mimi nimezungumzia S550 siyo S500.
Hiyo S550 ni dedicated kama ulivyotoa sifa za dedicated system Kama THAAD.
Msikie hapo chini aliyekuwa waziri wa ulinzi wa Russia juu ya tofauti ya S500 na S550.

Tena Mimi nilitumia neno 'labda S550' makusudi sema moderator wa JF ameondoa neno labda.

Nukuu chini
Russian Defense Minister Sergei Shoigu was first to inform about the S-550 system at the ministry’s conference call on November 9. He said the S-550 system should be used to target ICBMs and satellites while the S-500 Prometheus would shoot down enemy ballistic missiles and aircraft."
Russia Boasts of New S-550 Missile System Capable of Targeting Satellites.
 
Kilomita tatu kwa second moja. Wewe unaamini hilo kiuhalisia inawezakana?
Naamini 100% kwa sababu silaha imetumika na video zipo, na raisi wa Ukraine amelalamika juu ya hilo shambulio mitandaoni, nenda x (Twitter).
Pia Pentagon wamethibitisha hiyo kitu.
Na askari kadhaa wastaafu wa Marekani wamepiga kelele hatua ya kuruhusu Ukraine atumie ATCAM kuishambulia Russia kisha akajibiwa na Russia.
 
Ukiitafuta nchi yenye ICBM zenye uwezo wa kawaida (huwa naamini ni Pakistan) ukaiambia ifyatue makombora alafu ukawaita Urusi na Marekani wazuie kwa wanavyotaka wao. Chances za Marekani kushinda ni kubwa wakiweka Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) na Aegis Combat System kuliko Urusi wakiweka S-500 air defense system.
Kumbuka THAAD ilishindwa kuzuia makombola ya Iran dhidi ya Israel juzi juzi tu.
 
Alafu ndio ukute Nifah sio mwanamke ni mwaume tena mwenye wake wanne😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁.Sema huyu dada anaonekana mtundu mtundu hivi hata mimi nampenda basi tu
Ha ha haa.
Ikitokea kweli akawa ni mwanaume lkn mwenye Avatar yenye jina na picha ya kike basi ujue "hatakua anavyotakiwa kua".
 
Maarifa ya kuuwa majirani zako na askari wako kwa miaka takriban 3?. Kama kweli anayo maarifa mengi ayatumie kumaliza vita hiyo.
Marekani na washirika wake wa NATO walikaa miaka 20 Afghanistan wakiua wazee,wanawake,watoto na wasiojiweza nadhani huo kulikua ni ukosefu mkubwa wa maarifa.
Ila kwa sababu ni Marekani nadhani walikua Wana haki ya kujilinda.
 
Ohooo! naona Sasa wewe mdogo wangu umeanza kutamani nilipotamani,sawa Yako wewe ntaongea na Bro Putin upelekwe front line huko kiev.
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 mimi ndio nilianza kabla yako sema nilichelewa tu kusema
 
Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.

Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.

Hakuna mfumo wa kuizuia.

Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).

Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.

Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.

Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.

Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.

Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.

Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.

Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.

CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.
Kama ina uwezo huo wa kupiga na kuangamiza popote, si wapige London, New York na Toronto? Wtf?

Analilia nini stupid kabisa.
 
Naamini 100% kwa sababu silaha imetumika na video zipo, na raisi wa Ukraine amelalamika juu ya hilo shambulio mitandaoni, nenda x (Twitter).
Pia Pentagon wamethibitisha hiyo kitu.
Na askari kadhaa wastaafu wa Marekani wamepiga kelele hatua ya kuruhusu Ukraine atumie ATCAM kuishambulia Russia kisha akajibiwa na Russia.
Kilomita tatu kwa second. Labda iwe kuna second nyengine mbali na hii tunayotumia kwa majira, Tusidanganywe na sisi tukadanganyika.
 
Kama ina uwezo huo wa kupiga na kuangamiza popote, si wapige London, New York na Toronto? Wtf?

Analilia nini stupid kabisa.
Nani analia?
Umejiuliza kwanini Zelensky kalalamikia hilo shambulizi?
Kwanini Ukraine hajatumia tena makombora ya masafa marefu kuishambulia Russia?
Kumbuka Oreshnik siyo kombora la masafa marefu ni la masafa ya kati haliwezi kufika mahali popote duniani Ila ulaya linafika pote na mashariki mwa USA.
 
Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia.

Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima.

Hakuna mfumo wa kuizuia.

Ni Hypersonic hivyo inaweza kusafiri kwa kasi ya Mach 10 (kilometa 3 kwa sekunde, huwezi kuiona muenendo wake wa kasi kwa macho).

Inabeba vichwa vingi kwa mara moja ambavyo vikitawanyika huko angani kila kimoja kinaweza kujiongoza kufuata 'target' yake sehemu tofauti na vichwa vingine.

Russia imesema itakuwa inatoa taarifa kabla haijafanya shambulizi, tahadhari kwa raia eneo inalotaka kulishambulia waweze kuondoka lengo likiwa kupunguza maafa kwa raia wasiokuwa na hatia.

Muelekeo wa vita kati ya Ukraine na Russia umechukua sura mpya baada washirika wa Ukraine kuruhusu silaha za masafa marefu walizo wapa Ukraine zitumike kushambulia ndani ya ardhi ya Russia inayotambuliwa kimataifa.

Baada ya Ukraine kuzitumia hivi karibuni Russia amejibu mapigo kwa kuifanyia majaribio silaha yake mpya Oreshnik.

Ni teknolojia mpya ya Hypersonic Intermediate range ballistic missile.

Ina uwezo wa kubeba vichwa vya nyukilia (nuclear payload), kwa sasa imetumia vilipuzi vya kawaida(conventional bomb) lengo kutoa onyo tu. Pentagon wakiri silaha hiyo ni tishio lakini wana amini Ukraine itaweza kuhimili maafa yake.

Naomba wale wadau wa mambo ya silaha waje watoe maoni yao. Narudia, wale wadau wanaojua mambo ya silaha siyo shabiki wa vita vya Ukraine au NATO na Russia.

CC: T14 Armata waite wadau wengine tujadili wengine tujifunze.


Acha wazungu wazinguane maana ni makatili sana .

Waliwauza waafrika kama Mkaa wa kwenda kupikia .

Poombuvour sana wazungu !!
Puttin acha awabane wakose pumzi mabeberu wahuni wa dunia .
 
Back
Top Bottom