Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

Orodha ya silaha za asili ( Za kibaiolojia na kemikali) kujilinda dhidi ya vibaka wa nyumbani

1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
Hizi mbinu hata huku Oysterbay,Masaki, Regent sidhani km zinatumika
 
Sasa mimi na subwoofer ya seapiano na inch 32 ya aborder nipoteze muda kuchemsha mafuta hapana.

Na kama you have more fanya mpango ununue bastola hata ya laki 6
Ziote mkuu ila kama unahitaji ya haraka inafanya kazi mara tu baada ya kuiweka hii ina bidi niichre .
Inazuia moto wizi,wanga ,hata kama yumo humo ataondoka mkuu. Nikipata wasaa nitaitupia humu wafaidike wengi.
 
1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
Kuiba nako ni kazi kikubwa usiharibu kazi
 
1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
Kweli Bongo tunacheza!!!
 
Umeandika vichekesho, usiombe kuvamiwa na wezi hayo mafuta ya kula utajisahau unywe kama kahawa.
Wanakuwa wamejipanga unapigwa ambush hatari hiyo ndoo ya upupu hutaweza hata kuinyanyua.
Mtambo wa asili ni huu hapa ni zaidi ya S500 au irone dome
View attachment 3245119
Wakiingia ndani tu ni wewe unaamua wapigane wenyewe kwa wenyewe au wasioune mlango wa kutokea.
Hahahaha, S500
 
Umeandika vichekesho, usiombe kuvamiwa na wezi hayo mafuta ya kula utajisahau unywe kama kahawa.
Wanakuwa wamejipanga unapigwa ambush hatari hiyo ndoo ya upupu hutaweza hata kuinyanyua.
Mtambo wa asili ni huu hapa ni zaidi ya S500 au irone dome
View attachment 3245119
Wakiingia ndani tu ni wewe unaamua wapigane wenyewe kwa wenyewe au wasioune mlango wa kutokea.
Intercontinental ballistic missile...hii Ina wifi...inaconnect pimbi yeyote hata akiwa mbali..pia ni EmP jammer...Yani inaweza fanya wezi wasione nyumba
 
1. Mafuta ya kula :

Kaa ndani na mafuta yako Lita tatu. Kila siku usiku saa tano yachemshe hadi yatokote kisha hifadhi kwenye chupa ya chai. Ukiwa na chupa zaidi ya moja itakuwa vizuri zaidi.

Usiku wakivunja wewe wamwagie na hayo mafuta ya moto usoni. Wanaweza kufa hapo hapo wote na watakao salimika watatawanyika. Kama yupo mmoja basi atakufa hapo hapo au dead on arrival to the hospital.



2. Upupu : Weka upupu kwenye ndoo ya maji. Ukiwa na ndoo zaidi ya moja itakuwa poa zaidi. Upupu Uwe mwingi kwa kadri iwezekanavyo. Hifadhi ndoo zako za maji sehemu salama ambayo itakuwa mbali na watoto.

Usiku wakivunja or whatever wewe wamwagie huo upupu wote watatupa marungu na visu mapanga yao chini wakiugulia mateso ya upupu huo na obviously they will die ndani ya muda mfupi sana kwa sababu huo upupu utaingia hadi mdomoni so utakuwa unawawasha hadi kwenye utumbo.

Na kama una silaha zote mbili yani upupu na mafuta ya moto wakati wana gaa gaa chini wamwagie mafuta ya moto, aim kwenye USO.



3. Body spray ya usingizi hii siijui naisikia japo naitafuta sana mwenye nayo afunguke hapa.

Weka na wewe orodha zako
Upupu unafaa kutumika kwa watu ambao hawatakiwi wajulikane
 
Back
Top Bottom