peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
-
- #41
JK mungu atampenda Lini Ili watanzania 60milioni wapate amani?Msimlaumu halima..kila mtu aliyerudishwa na hii serikali ya JK amewekwa ili apige. Kwani ni nini kazi ya vick kamata? Au anthony diallo? Au Hawa Ghasia?au amos makalla?
Mwandri yuko zake Siha huko anawajaza waumini wake neno la Mungu. Mambo ya kaisari kawaachieni nyie walamba asaliTabora ya Mwanri ilipendeza sana
Mheshimiwa raisi tunamuhitaji Mwanri tabora, huyu mama mpeleke hata Dar kama una mpenda...
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hivi wizara ya ardhi ina Waziri?
Tabora ni mkoa mgumu sana kuuongozaMwandri yuko zake Siha huko anawajaza waumini wake neno la Mungu. Mambo ya kaisari kawaachieni nyie walamba asali
Ndio Yule Mwenye Kalio kubwa? Nilifika Tanga nikakuta sanamu yake kwenye Round about nasikia alikua Mkuu wa Wilaya TangaHapo Namba moja umepatia kabisa! huyu Halima Dendego ni Zero kabisa. Uwezo wake wa kiuongozi ni Mdogo sana kuchwa kutwa ni kutengeneza madili yake ambayo hayazingatii Procurement na Financial controls hivyo kuwapa wakati mgumu watendaji kwani yatakuwa chanzo Cha hoja za ukaguzi.Sishangai kumbe ndo maana mwendazake alimpiga chini u- RC huyu mama alipokuwa RC Mtwara
Mbona umekasirika sana?We km hujalewa basi ni mwehu, RPC anateuliwa na rais? Umeweka list ulitaka wateuliwe ndugu zako? We kweli ni kenge mwenye chuki za kipuuzi
We km hujalewa basi ni mwehu, RPC anateuliwa na rais? Umeweka list ulitaka wateuliwe ndugu zako? We kweli ni kenge mwenye chuki za kipuuzi
Hapana anateuliwa na nyanyako.RPC anateuliwa na Raisi?
Kuna watu watano walikutwa wameuwawa huko songwe last month.Kwa RPC Songwe ume chemka.
Humjui huyu Rpv. Huyu Dada yuko vizuri mnoo. Hana makuu. Namfahamu tangu akiwa Ocs Arusha, Hadi akiwa staffone trafiki makao makuu.
Na sasa Rpc huko aliko. Kwanza ni cheo kidogo sana kwake. Ana stahili nafasi kubwa zaidi
Makongoro kaenda Rukwa juzi. Umempimaje?
Rc Arusha ana sifa zake, ume mpima kwa kigezo gani?