Orodha ya viongozi walioteuliwa na Rais Samia na kuonyesha uwezo mdogo kiutendaji na kiuongozi ni hawa hapa

Huyo namba 1 hapo ni kiazi kwelikweli.
Naongea kwa uzoefu wa kazi naye.
Basi tu nchi hii ni ya hovyo sana.
 
Tabora ya Mwanri ilipendeza sana

Mheshimiwa raisi tunamuhitaji Mwanri tabora, huyu mama mpeleke hata Dar kama una mpenda...
Mwandri yuko zake Siha huko anawajaza waumini wake neno la Mungu. Mambo ya kaisari kawaachieni nyie walamba asali
 
Chuki ni mbaya saaana.
Mtu kuwa ndugu wa Rais sio kwamba hana uwezo.
Acha chuki
 
Ndio Yule Mwenye Kalio kubwa? Nilifika Tanga nikakuta sanamu yake kwenye Round about nasikia alikua Mkuu wa Wilaya Tanga
 
Hii list Ina kachuki flani hivi ndani yake
Hebu mtoe Basha hapo..Waziri anapiga kazi huyu..
Alafu bado watu wawili umewaweka. Kimakosa nitawataja Baadae ila Bashe Yuko powa Sana Ukweli tuuseme. Bashe👍🏼👍🏼👍🏼
 
MFUMO NI MBOVU MNO.

BILA KUWA NA KATIBA MPYA.

NAFASI ZA WAKUKU WA MIKOA NA WILAYA NI UZUSHI.
 
Tungejua walichotakiwa kufanya na walichofanya
 
Mamlaka ya uteuzi,ifanyike kazi maoni na changamoto hizo.Kuna wateule ambao hawana uadilifu.Gunia la misumari halikumbatiwi. Lakini ufumbuzi ni Katiba Mpya,wakuu wa mikoa wawe wanapigiwa kura(waombe nafasi na kuwaambia -Wakazi wa mkoa ule changamoto za mkoa au eneo like na nini atafanya kuleta ufumbuzi, badala ya kuletewa watu ambao hawana maoni na wala hajui matatizo ya mkoa ule na jinsi atakavyo yatatua.
 
Kuna Dc mmoja alipoteza msafara wa mbio Za mwenge, kisa Dc hajui vizuri wilaya aliyopangiwa kazi.
 
Kwa RPC Songwe ume chemka.
Humjui huyu Rpv. Huyu Dada yuko vizuri mnoo. Hana makuu. Namfahamu tangu akiwa Ocs Arusha, Hadi akiwa staffone trafiki makao makuu.
Na sasa Rpc huko aliko. Kwanza ni cheo kidogo sana kwake. Ana stahili nafasi kubwa zaidi
Makongoro kaenda Rukwa juzi. Umempimaje?
Rc Arusha ana sifa zake, ume mpima kwa kigezo gani?
 
Kuna watu watano walikutwa wameuwawa huko songwe last month.
Weka kumbukumbu sawa, RPC ni mtu wa kuingia front Huyu baada ya kusikia kuna mauaji alienda Dar kumsalimia Mr wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…