Orodha ya viongozi walioteuliwa na Rais Samia na kuonyesha uwezo mdogo kiutendaji na kiuongozi ni hawa hapa

Makongoro Hata mkoa wa Manyara ulimshinda, alikuwa anapiga Kvant pale babati kama kawa.

Huko Rukwa mtaenda kumuokota barabarani.
 
32. Mh. Peno Hasegawa
 
Ila Mabula chenga sana ujue,Jimbo la Ilemela Barabara ni mbovu balaa,Mimi naishi Lumala aisee, Barabara mvua imenyesha kidogo tu ni makaorongo kibao na yeye Wala hafanyi ziara Jimboni na DC na Mkurugenzi ni watu wa ofisini tu,kumtembelea Wananchi hakuna.
Lakini tuwe Wakweli ata Mama mwenyewe kachemka basi tu kakuta nchi yetu ni taifa la Wanafiki.
 
Mwacheni Mama Maridhiano,yeye aliona Magufuli ni fala kuwaondoa ila yeye akawarudisha akiwemo na yule RC wa Morogoro aliyehamishiwa Kagera.
 
Mkuu njoo na viashiria vya wazi to prove their incompetence otherwise zitakuwa porojo kama porojo zingine.
 
Uzi wako una agenda binafsi...Ivi anakosaje Hapo Nape na Makala

Namba moja alitakiwa awe Bi TOZO mwenyewe.
 
Ili tuongeze na orodha yetu,tusaidie vipimo ulivyovitumia kuiandaa orodha hii?
 

Yawezekana wengi wetu tumekulia mfumo dume lakini nadhani si sasa kusema wanawake hawafai kuwa viongozi.
Kuna wanawake wengi tu kwenye makampuni wanafanya vema.
Changamoto walionazo uliokutana nao na wanaume pia tuna zetu kwa wanawake waliokutana na sisi.
Tusitoe majumuisho yanayotawaliwa na tamaduni zetu au historia zetu, hii si sawa.
Hivi ikitokea mwanao wa kike amekua mbunge, waziri au Raisi hutakua unatusumbua mtaani na kutuambia mtoto wangu yule.
Kuanzia leo nakuomba uthamini mtoto wa kike akiwa na mapungufu ni yeye binafsi na iwe heri mwanao na mwanangu wote wa kike wakutane bungeni 2050.
 
Katika RC ambaye ni RC Kweli ni RC mpya wa mkoa wa Mara.

Yeye Sio fisadi ni msafi Hongera sana RC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…