Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Mnyika Yule wa awamu ya kwanza,hii awamu iliyopita sijui alipatwa na niniPositives: kuona wabunge karibu wote wa viti maalum kujitosa majimboni sio wale wa CCM ambao wengine mwaka wa 15 sasa ni viti maalum tu!!
Nimesikitika kutomuona Mwambigija wa Mbeya, Nusrat kwa kigamboni, na Mnyika kutochukua fomu kabisa!! Kiukweli nitammiss bungeni alikua mjenga hoja mzuri sana.
#68 atoboi tutamchapa asubuhi mapema binti yuko laini sana sio kama wale majike dume ya Mara na kawe
*Alikua mgonjwa wa figoMnyika Yule wa awamu ya kwanza,hii awamu iliyopita sijui alipatwa na nini
Upendo peneza sio jasiri? Upendo yupi huyo unayemuongelea.#68 atoboi tutamchapa asubuhi mapema binti yuko laini sana sio kama wale majike dume ya Mara na kawe
Mkuu anaandaliwa vipi? Maana umetaja hapo chakula ya wakubwaHuyu dada anaandaliwa kama kina Upendo Peneza na Catherine Ruge. Kumpa jimbo kabla hajaonekana kitaifa siyo sawa! Tulizana.
Je kama ni implant kutoka ccm?? Tumieni akili nyie vijana. Usione mtu anajipambanisha kumbe yuko kaziniHalafu kutwa kuwananga CCM hawana demokrasia...yule AGNESTA LAMBERT anapambana sana kuanzia chadema ni msingi mikoa ya kilimanjaro na singida.....kwa tetesi hata 2015 alishinda ubunge wa viti maalumu sema kamati ikafanya yake
Hahaa eti chama komavu mumeshindwa kusimamisha wagombea majimbo yoteHii orodha inasambaa kwa kasi ya mwanga mitandaoni!
Orodha hii ni ya mwanzo,majina mengine yatafuata.Hahaa eti chama komavu mumeshindwa kusimamisha wagombea majimbo yote
Ujidanganye weye huo uwezo ni CCM pekee kusimamisha wagombea majimbo yote.Orodha hii ni ya mwanzo,majina mengine yatafuata.
na wewe ni mwana chadema?Vyama vya kihuni utavijua tu
Chama kimeshindwa kuweka wagombea nchi nzima,eti orodha ya awamu ya pili,Kuna mnaomba mikopo bodi ya mikopo?
Kwa sababu hatoki kaskazini
Ni sawa titles zao kuitwa waheshimiwa kabla hawajafanikiwa kuchaguliwa kuwa wabunge? Naona wote ni MHE....
Ni aibu na fedheha kusikia kumbe bado ccm itaendelea kupata majimbo mengine mengi bila kupingwa ktk uchaguzi huu
Kuna majimbo sijayaona ya Kanda ya Serengeti!
Vigezo ni vingi siyo kura za maoni tuYaani mtu wao kashindwa kura,still wamemuweka. Demokrasia ipo wapi ?
Orodha kutoka 82 hadi 112 Mimi siioni. Au macho yangu tu. Nisaidieni wadau.Pongezi CDM Wagombea wenu wamepatikana bila RUSHWA. Chama tawala ondoeni wala rushwa wekeni majina ya wagombea Safi hapa.tukikutana na Akina ole sendeka,sajini,muhongo,gambo,sashisha, Ibrahim 6, priscus kimaryo,Dr mathayo David,Kimei, Adolf mkenda, shabby, Abood, kurwa biteko,nyeti ,akso tulia na wengine ,haya majina na wengine waondoeni kukusaidia chama na serikali ya awamu ya tano.