Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Women empowerment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Basila hata akirudi uraiani ataendelea kula maisha
Kwanza hayo mambo ya uongozi siasa siasa wapi na yeye
Ova
Kule alipokuwepo lazima uwe malaya tu, hata ingekuwa mimi
Migogoro ya Ardhi inaishaga kwani Mkuu,mimi nimeishi Wilaya ya Kinondoni miaka 20,nasikia mara Wazo(Mapanga shaa),mara mivumoni(huku mabaunsa walishwai kuchinjwa) na sasa Mabwepande na Bunju.Siyo kwamba hawawezi ila hayo maeneo ni ya wakubwa sasa mtu kama Makala anajilambia asali tu kwa kuwaondoa wanyonge na kyambatana na matajiri!Afadhali maana Kinondoni alishindwa kutatua migogoro ya ardhi kule Kata ya Mambwepande .
Alikuwa anauma maneno tu bila kuwa na maamuzi ya haki hata kama ni magumu kufanyika.
RC Makala anajitahidi lakini anawekewa vikwazo na mbunge na hao dhaifu kina DC
Yuko vizuri basila hata akitoka ukuu wa wilaya ataendelea kuishi,kumbuka kabla ya kuingia ukuu wa wilaya alijinunulia hammer gari [emoji1]Alikuwa na saluni yake pale Victoria labda kuna kimemo kilipitia pale kwenye saluni yake.
Lakini huyo Mchembe namuona kama mchapa kazi uwa namuona sana kwenye luninga akizungumzia maswala mbalimbali ya wilaya yake.1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
4)Gabriel Zachariah.
5)Jasinta Mboneko.
6)Mathayo Masele.
Umenikumbusha mambo ya Chuo cha Uongozi Mzumbe, sijui kwa nini waliamua kukibadili na kuwa Chuo Kikuu ambacho hakizingatii masuala ya Uongozi.Vyeo vimekuwa kama zawadi. Hatuna chujio la viongozi makini. Kuteua na kutengua kila wakati ni dalili ya wazi. Nimewahi kuwa kwenye vikao vya ndani na wakuu wa wilaya na wakurugenzi tofauti katika nyakati tofauti yaani mnatoka kikaoni hadi mnaulizana hivi ni mteuliwa wa rais au mwananchi wa kawaida.
Zifuatazo ni baadhi ya tabia zao;
1) kujikweza
2) hawazingatii muda kabisa vikaoni na hawataki mawazo mapya.
3) kuzungumza mambo ya chama na kusifia mabosi badala ya utekelezaji wa mipango ya maendeleo.
4) wengi ni wasomi wa degree, masters, PhD lakini hawana content vichwani yaani mtu anaongea hadi unashangaa katokea wapi
6) wanapenda vitisho na kulazimisha utekelezaji wa mambo yaliyo kisiasa zaidi.
7) Wengi hawana ushirikiano na watu wa chini.
8) migogoro kati ya mkurugenzi, das, na mkuu wa wilaya yaani kila mtu anataka ukuu kwa wenzie.
9) alafu wengi wanaopangiwa post hizo huwa hawaendi na familia zao yaani huko wilayani maadili yao hadi unajiuliza mara mbili.
NB: badala ya serikali kutegemea viongozi walioandaliwa na chama cha siasa ijaribu kutafuta namna nyingine ya kuandaa viongozi watakaokuwa na sifa watakaohudumia watu wote bila uchama. Pia itazame watumishi wa serikali waliofanya vizuri kwenye maeneo ya kazi ndio wawe madisii, wakurugenzi, na vyeo vinginevyo hii italeta hata motisha kwenye utumishi wa umma kuwa kumbe kuna promotion na utambuzi wa mkuu wa nchi la sivyo chama kitaendeleea kukaa madarakani kikiwa na serikali dhaifu.
Nadhan alikuwa anatafuta pa kutokea tuNdiyo!
Tena alikuwa kiongozi wa vijana pale kanisa la Pastor Vanon yule Mhindi wa Tanga wa kabisa la Agape Television pale jogoo mbezi beach.
Bahi ameenda Godwin Gondwe aliyekuwa Kinondoni
Hivi huyu Jokate amebakizwa kwa lipi? Huyu alikuwa active kipindi cha Magu na ni team Magu wa ukweli. Ukiangalia utendaji wake kwa sasa ni Bora liende na hayuko interested kabisa. Kaamua kujizalia mtoto wangemuacha tu alee mwanaye maana kwa sasa ndiyo muhimu. Narudia hayuko kivile kusaidia awamu ya Sita.Jokate je??? Wapo vilaza wengi tu, ni vile nchi imekosa muelekeo hii. Watu wa hovyo hovyo ndio wapo kwenye kazi za maana za kuleta maendeleo ya nchi. Kujuana sana na siasa kwa kwenda mbele. Nchi ngumu sana hii.
Siyo 1999?Miss Tanzana 1989
Hivi no 3. Vicent Mashinji alikuwa ametunukiwa Wilaya gani? Maana hata mabubu tuliwasikia isipokuwa bubu huyu.1. Basils Mwanukuzi
2. Jerry Muro
3. Vicent Mashinji
4. Abbas Kayanda
5. Mathayo Masele
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Naongezea na Siriel Nchembe. Niishie hapo kwa Ile bond ninayoifahamu. Labda iwe imekufa kwa sasa kitu ambacho sikiamini.JERRY MURO anasubiri UKUU wa MKOA
Namkumbuka kipindi kileeee akiulizwa Ana miaka mingapi in English akajibu "I have nineteen ears!Hivi huyu basila mpaka kupewa udc ilikuwaje kuwaje??
Ova
Ila nchi kama Tz haiendelei kutokana na mambo mengi sana, pamoja na raslimali za nchi kutumiwa vibaya na ufisadi, ila pia raslimali watu nayo haitumiki vizuri. Posts za kazi za maana zimejaa wajinga wajinga vilaza tu walioingizwa kwa kindugu/ngono/rushwa na wale maskini wenye elimu yao wapo mitaani wanasota. Nchi ngumu sana hii.Hivi huyu Jokate amebakizwa kwa lipi? Huyu alikuwa active kipindi cha Magu na ni team Magu wa ukweli. Ukiangalia utendaji wake kwa sasa ni Bora liende na hayuko interested kabisa. Kaamua kujizalia mtoto wangemuacha tu alee mwanaye maana kwa sasa ndiyo muhimu. Narudia hayuko kivile kusaidia awamu ya Sita.
"Acha upuuzi CCM ni moja. Hakuna CCM ya Magu CCM ya Samia wala ya Mzee wa Msoga ccm ni moja" Alisikika kada mmoja wa ccm akinena ambae anakaa mtaa wa kajiungeniHivi huyu Jokate amebakizwa kwa lipi? Huyu alikuwa active kipindi cha Magu na ni team Magu wa ukweli. Ukiangalia utendaji wake kwa sasa ni Bora liende na hayuko interested kabisa. Kaamua kujizalia mtoto wangemuacha tu alee mwanaye maana kwa sasa ndiyo muhimu. Narudia hayuko kivile kusaidia awamu ya Sita.