Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Mmemsahau T.I. D a.k.a TOP IN DAR.
Jamaa nae anaishi kwa Mama yake.

Na AKA wa South Afrika nae kafariki amejenga kweli
 
Fuatilia vizuri Historia ya Nyerere,kalikuwa na nyumba Dar hata kabla ya kuwa Rais,sasa hivi hiyo nyumba ni museum ,kuna siku nimeiona TBC

Pia Nyerere alikuwa na nyumba butiama before kustaafu,alipostaafu ndipo akajengewa ya pili na jeshi huko butiama

All in all huyu naye ni mzembe tu,kawa Rais miaka zaidi ya 20 na akamiliki nyumba mbili tu kwa pesa ya urais,alishindwa hata kununua gari (utani hii conclusion 😂)
 
Inaonesha marehe ukimto huyo Ray hapo hawakutaka kuwatia huzuni wala kuwachosha watu msibani na majirani hivyo wasiwe na makazi mahalum!,,,,,ila yote sawa kwa maana nyumba,mali na vinginevyo ni vya duniani tyuu utaviacha,,,,hahahaa,,,,,, ila chako ni dhambi za huku duniani tu hivyoo dj waleteeeeee marehemu watalajiwa!maisha ndo haya haya.Nalog Off it's wiknd
 

Utajenga njiani?
Duniani ni mapito,nyumbani kwetu ni mbinguni.
Usitutishe!
 
unajitahidi kutetea ujinga mkuu
Ujinga upi? Wangapi tumeona wemejenga Mabanda mnayoita nyumba na hawana kipato wanaishia kufa kwa magonjwa yanayopona sabau tu ya kutokuwa na pesa ya uhakika wa kuendesha maisha mazuri ya kila siku.(cash flow)
Unadhani kinachowaua wazee wengi waliostaafu ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…