Booster/minjinguKama Jasiri muongoza njia alikuwa anatumia "Njugu" vizuri atakuwa hajamuambukiza hata kama ilikuwa Chama Dry kisiwa Ubalozi morocco.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Booster/minjinguKama Jasiri muongoza njia alikuwa anatumia "Njugu" vizuri atakuwa hajamuambukiza hata kama ilikuwa Chama Dry kisiwa Ubalozi morocco.
Fuatilia vizuri Historia ya Nyerere,kalikuwa na nyumba Dar hata kabla ya kuwa Rais,sasa hivi hiyo nyumba ni museum ,kuna siku nimeiona TBCUngefanya evaluation ya mazuri na mapungufu yao pia,hata mwalimu nyerere mpaka anang'atuka alikua hana nyumba butiama, mpaka jeshi lilipoamua kumjengea,na ile ya msasani alikua bado anadaiwa na NBC,deni, Lakini mpaka mtoto wangu anamjua mwl Nyerere japo hakuwahi kumuona, because of his legacy [emoji1241]
Lakini mzee Mengi kaacha kasri ameacha migogoro tu huku nyuma.
Under the sun everything is vanity [emoji137][emoji137]
Hatuna huo uwezo.Labda mjenge
Weka hapa hata kama ni kwa kulipia 🍻🍺Magu ana visa zaidi ya elfu moja ngoja nipekuepekue kimoja leo
Kabar kadogo sana hakana hata vibeLion napajua ila bar yake siijui, nilikuwa naisikia tu.
Hatimae nimeona comment yakoWeka hapa hata kama ni kwa kulipia [emoji482][emoji481]
Mbona huwa ninacommnt mara nyingi tu 😃Hatimae nimeona comment yako
Ujinga upi ninaoutetea? Read to understand. Kuna watu wamejenga Mabanda na kuna watu wamejenga Nyumba.Wakati huo unaishi kwenye nyumba aliyojenga nani? Imejini wote mnawaza kujenga biznaaa...!!
Unatetea ujinga kwa point zisizoendana na ujinga unaoutetea
1.Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay
ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la serikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3. Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
4.Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au ,anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo.alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofari ngapi
7.
Itaendelea
Ujinga upi? Wangapi tumeona wemejenga Mabanda mnayoita nyumba na hawana kipato wanaishia kufa kwa magonjwa yanayopona sabau tu ya kutokuwa na pesa ya uhakika wa kuendesha maisha mazuri ya kila siku.(cash flow)unajitahidi kutetea ujinga mkuu
Tatizo mmeathirika sana na fikra za Kijamaa..collective thinkingWakati huo unaishi kwenye nyumba aliyojenga nani? Imejini wote mnawaza kujenga biznaaa...!!
Unatetea ujinga kwa point zisizoendana na ujinga unaoutetea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo kwa RAY KIGOSI umenichekesha sana
Kuwa na nyumba uswahilini kwenye suburb ya hovyo na kukosa cash flow ya uhakika ni upuuzi mkubwa sana na ndio watanzania wengi wanaishi hivyo.unajitahidi kutetea ujinga mkuu