Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Naona umemsagia kunguni Ray Kigosi hapo namba 6 😅😅😅
 
Makazi ya milele ni Mbinguni tutafute hela tukajenge huko, hapa duniani tunapita tu
 
Mbona kwenye list sijaona jina la kike?????
 
Jenga nyumba wewe acha porojo,yaani uwe na miradi yote hiyo alafu ushundwe nyumba ya 30 kijijini kwenu,basi utakuwa hujitambui
Mfano mimi Kijinini kwetu(wanakotoka wazazi) kulishajengwa sasa mimi nikajenge nini wakati sitarajii kuishi huko na hata nikifa sizikwi huko? Its all about mindset na belief za mtu, Kwangu Cashflow ni muhimu zaidi kuliko kumiliki nyumba alfu hela ya kula nategemea mikopo ya kwenye Vikoba.
Nitajenga nyumba kwa ajili ya Biashara i kuongeza my cashflow ila siyo kujenga nyumba tu bila kuwa na kipato endelevu.
 
Unajuaje ukifariki hautozikwa sehemu fulani?
 
Sawa mtumishi.. Weka kapu la sadaka tuanze kutoa zaka na fungu la kumi sasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…