Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Mwanangu mkiwa kwenye masihara..
Atasema "makaveli hakuna elfu 10 iliyoandikwa kwa ajili ya kununulia mfuko wa cement, pesa yake matumizi, kujenga woga wa maisha, kobe awe na nyumba na mimi nimiliki nyumba 😂🤣, hakujenga baba kipindi kiwanja laki, mfuko wa cement 250"😂 🤣

Hapo
 
7. Wema Sepenga
Ujana maji ya moto shenzeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…