Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

🀣🀣🀣🀣🀣Where is the lie??
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee unapiga mishono
 
Number nne imenichekesha
 
GENTA hivi wewe umejenga hata kakibanda?
 
Hapo kwa Makamu wa Rais pana utata kidogo.

Kwa taarifa yako Dr ni mmiliki wa kiwanda cha Kagera Sugar (Majority shareholder)

Huku Nkapa akijimilikisha Mtibwa Sugar kupitia mipango yao haramu ya ubinafishishaji.

Sasa kumiliki kiwanda au kujenga nyumba lipi kubwa ?.

Kumbuka hivi viwanda vipo hadi kesho familia zao zinajichotea mihela bwerere.
 
Sio kwamba ili ujenge lazima uwe na hela,kuna wahindi kibao hapa nchini hawajajenga na wana mihela,kama uliwatch mazishi yake kule pemba ungrona nyumba yake ya pemba ungeshangaa,kujenga ni hobby tu
 


Pumbavu zako, tuambie wewe umejenga wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…