Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Uliwahi kuudhuria msiba wa marehemu aliyeacha mke na watoto kadhaa nyumba ya kupanga ukaona mke anavyogalagala kwa uchungu
Mkuu umeandika kama utani ila nimekumbuka siku moja tulienda kwenye msiba wa muumini mwenzetu mmoja...wakati tunarudi akina mama nilioongozana nao wakawa wanasema ila mwenzetu ana raha, amejengewa nyumba ya kuishi na zingine anapangisha hata uchungu hauwi mkubwa sana... nilishangaa kwa kweli

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umeandika kama utani ila nimekumbuka siku moja tulienda kwenye msiba wa muumini mwenzetu mmoja...wakati tunarudi akina mama nilioongozana nao wakawa wanasema ila mwenzetu ana raha, amejengewa nyumba ya kuishi na zingine anapangisha hata uchungu hauwi mkubwa sana... nilishangaa kwa kweli

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Walikuwa sahihi,waliongea ukweli,
 
[emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961] the reason is there are

Alot of stupid adults in tz
Kwa hyo kutojenga ndo stupidity??
Hv unajua ni kwa nini TRA huwa wanapanga ofisi na sio kujenga wakati wanajua wao wapo leo kesho na kesho kutwa???
 
Mkuu umeandika kama utani ila nimekumbuka siku moja tulienda kwenye msiba wa muumini mwenzetu mmoja...wakati tunarudi akina mama nilioongozana nao wakawa wanasema ila mwenzetu ana raha, amejengewa nyumba ya kuishi na zingine anapangisha hata uchungu hauwi mkubwa sana... nilishangaa kwa kweli

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndo ukweliii wanawake msibani wanalia na vingii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kujenga ni uamuzi wa mtu kwa nini uwekwe kwenye orodha, yaani maamuzi yangu yanawahusu nini? Kwa nini uhangaike kujua kama sikujenga ama nilijenga?

Nadhani watu tuache maisha ya kiswahili ya kufuatiliana, ishi maisha yako, sikujenga ama nilijenga is non of your business.
Dawa yake ni kuweka njenge. Hasira hazileti njenge
 
Back
Top Bottom