Pablo atimuliwa Simba SC, mwenyewe agoma kupokea barua


Maamuzi magumu Ni Kuvunja kikosi karibia chote . Sio unatimua kocha unamuacha mugalu na boko.
 

Ndio maana wammtimua kocha mapema ili aje mpya kutengeneza timu mapema.
 
Kamati ya Usajili yatakiwa iondolewe maana wamehusika kwa sehemu kubwa na huu upuuzi

Wasimuache Matola, huyu ndiye Nyoka kwenye Timu
Mudi ndo anatakiwa kuondolewa,unageuzaje timu ya watu kuwa mkeo wa pili?
 
Wahakikishe kwamba this time cv ya kocha wanafanya background check vizuri...wenzetu hawa wanadanganyaga kwenye cv zao....
Tatizo la mpira wa nchi hii sio makocha hata muwalete wa madrid na wa liverpool, wasaidiane , hamtoboi, kocha inakuwaje asihusike kwenye usajiri?kweli kwa wenzetu hao, ni wa kudanganya cv zao?kitu ambacho ni kugumu, kwani cv ya kocha sio kama ya mlinzi
 
Ndio maana wammtimua kocha mapema ili aje mpya kutengeneza timu mapema.
Tupo hapa na kuhakikishia kocha mpya atakuja baada ya viongozi kumaliza kufanya usajili.

Labda kama sio mfuatiliaji wa soka la bongo ila kwa sisi tunao lifuatilia hizio ndio tabia za viongozi wa Simba na Yanga.
 
Kigwangala ni mshenzi sn, mpira wetu unawahitaji akina GSM na MO wa kutosha, Kingwala kipindi Simba ilikuwa imechoka mbona alishindwa kuisaidia?
Wanatakiwa akina GSM na Mo wengi ni kweli lakini hawatakiwi kuzigeuza timu mke wa pili.Kataa wahuni,Mudi ni muhuni.
 
Tupo hapa na kuhakikishia kocha mpya atakuja baada ya viongozi kumaliza kufanya usajili.

Labda kama sio mfuatiliaji wa soka la bongo ila kwa sisi tunao lifuatilia hizio ndio tabia za viongozi wa Simba na Yanga.

Sawa wakifanya hivyo tunarudi kule kule.
 
naona makolo mmeanza kufanyia kazi hoja za kigwangala kimya kimya!hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…