Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Habari mpendwa, Tafadhali naomba umsihi mpendwa wako ------ afanye malipo yake ya 107,090 TSH ya FLEXI CASH/SASA CASH , amekopeshwa ila sasa haoneshi ushirikiano kutokana na mkataba wake unaruhusu tukate hela zako Kwenye simu yako kulipia deni lake. Tunakupatia muda adi saa6:30 jioni ya leo awe ameshaa fanya Malipo ya deni lake
MUHIMU
HUDUMA ZAKO ZA KIBENKI NA SIMU ZILIZOTUMIA NAMBA INAYOSHUTUMIWA, ZITAFUNGWA KWA MUDA ILI KUPISHA UCHUNGUZI. ASANTE





Hawa jamaa wana elimu gani
 
Upo sahihi sana, inashangaza sana mtu anakopa ili asilipe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…