Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Majangili at work
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia tena, ingekuwa kura zinatangazwa kama zilivyo kwenye box la kura, ndio ungejua ccm sio chama Cha kizazi hiki. Hiyo kuwalisha wananchi maneno ilitakiwa muache box la kura liseme watakacho wananchi, sio nyie wenye uchu wa madaraka ndio muwaamulie wananchi mnachokitaka.CCm imechoka lakini wananchi nao hawaamini watu wasio na msimamo!
Box la kura linaamua kila uchaguzi ila dhana uliyojijengea tayari ni kura kuibwa khenan kule nkasi kashinda kwa box gani?Narudia tena, ingekuwa kura zinatangazwa kama zilivyo kwenye box la kura, ndio ungejua ccm sio chama Cha kizazi hiki. Hiyo kuwalisha wananchi maneno ilitakiwa muache box la kura liseme watakacho wananchi, sio nyie wenye uchu wa madaraka ndio muwaamulie wananchi mnachokitaka.
Narudia tena, watu wajinga tu ndio unaweza kuwaambia kuwa box la kura ndio linalotoa viongozi ndani ya nchi hii. Huyo Kenan kushinda sio dalili ya heshima kwenye box la kura, Bali huyo ameachwa Ili kuhalalisha uhayawani mwingine wote uliofanyika. Siku heshima ya box la kura itarejea, hukutakuwa na uwezo wa ccm kupata zaidi ya 50%.Box la kura linaamua kila uchaguzi ila dhana uliyojijengea tayari ni kura kuibwa khenan kule nkasi kashinda kwa box gani?
Sasa unafikiri ni mwaka gani tutaishuhudia hiyo fifty percent!Narudia tena, watu wajinga tu ndio unaweza kuwaambia kuwa box la kura ndio linalotoa viongozi ndani ya nchi hii. Huyo Kenan kushinda sio dalili ya heshima kwenye box la kura, Bali huyo ameachwa Ili kuhalalisha uhayawani mwingine wote uliofanyika. Siku heshima ya box la kura itarejea, hukutakuwa na uwezo wa ccm kupata zaidi ya 50%.
Mnatoa mifano ya kijinga sana !Box la kura linaamua kila uchaguzi ila dhana uliyojijengea tayari ni kura kuibwa khenan kule nkasi kashinda kwa box gani?
Baada ya Karne mbili.Sasa unafikiri ni mwaka gani tutaishuhudia hiyo fifty percent!
Mchezo huu hautaki hasira mdee and the gang pia wameteuliwa na CDM wapo mjengoni!Mnatoa mifano ya kijinga sana !