Pamoja na kuhujumiwa CHADEMA yafika Hospitali ya Mkoa na kusalimia Majeruhi. Yachangia pesa

Pamoja na kuhujumiwa CHADEMA yafika Hospitali ya Mkoa na kusalimia Majeruhi. Yachangia pesa

Ccm na siasa hata kwenye majanga.
Yaani ubaguzi hadi kwenye misiba?
Mambo ya aibu sana
 
Wanasiasa wanafiki sana, yaani huko mitaani wanakutana wanaCCM na CHADEMA kuombana ushauri wa namna ya kutengeneza maisha yao kwa ajili ya biashara mbalimbali...ila ikija suala la kukutana kutatua matatizo ya wananchi wanawazuia wenzio wasiungane kutatua kuchakata mawazo ya pamoja kwa ajili ya kuwasaidia wananchi.
CCM ni Kansa mbaya sana.
 
Wanaleta sihasa kwenye mambo ya kitaifaaaaa........kushikamanaaa
Mbona Spika alikuwa kule yeye alienda kufanya nini si bora hao wanaopeleka misaada.Ni kheri yanga na simba kuliko hao wacheza ugoyangi
 
Kwenye hili suala na kinachoendelea hapa cha kurushiana maneno badala ya kuwekeza nguvu zote kwa wahanga naona kama watu wameamua kunyanganyana nguo na kukimbizana (kwa mimi mtazamaji napata shida kuona kichaa ni yupi)
 
Tulishasema mara kadhaa humu JF na Kwingineko, kwamba kwenye Dunia hii hakuna mahali kokote ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu .

Pomoja na utitiri wa hujuma, ambazo ni hujuma za kijinga zilizojaa wivu wa kipumbavu , Chadema imefanikiwa kuingia kwenye Hospitali ya Mkoa wa Manyara kuwaona Majeruhi na kutoa msaada wa mamilioni ya shilingi zikiwemo pesa taslimu

Taarifa zinaeleza kwamba baadhi ya Majeruhi baada ya kuwaona viongozi wa Chadema wamefurahi sana kiasi cha kupata nafuu ghafla , na wengine kuanza kutembea wenyewe pamoja na kwamba hapo awali walikuwa wanabebwa! kilichotokea ni kama vile ndani ya Hospitali hiyo umeingia ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Uponyaji .

Hali ndio kama mnavyoona

View attachment 2835884View attachment 2835885View attachment 2835886View attachment 2835888View attachment 2835889View attachment 2835890View attachment 2835891
Na wewe acha kua km Lucas Mwashambwa hahaha 😂,taarifa njema ila mahaba sasa yanapitiliza ndugu
 
Jambo la kibinadamu kama hili linafaa kuungwa mkono.

Serikali ya kihuni inadhani kila jambo ni la kisiasa
Mama Samia angalau kwa macho ya rohoni ana utu tofauti na mwendazake
 
Nakuheshimu sana mkuu, Naunga mkono mageuzi, ila unaripoti kishabiki sana kiongozi.

Sasa hao wananchi ambao wamepata matatizo walikua wanawashangilia vipi watu waliokuja mikono mitupu ati kukagua uharibifu?? Mbona nashindwa kuelewa??
Hutaki unaacha
 
Tulishasema mara kadhaa humu JF na Kwingineko, kwamba kwenye Dunia hii hakuna mahali kokote ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu .

Pomoja na utitiri wa hujuma, ambazo ni hujuma za kijinga zilizojaa wivu wa kipumbavu , Chadema imefanikiwa kuingia kwenye Hospitali ya Mkoa wa Manyara kuwaona Majeruhi na kutoa msaada wa mamilioni ya shilingi zikiwemo pesa taslimu

Taarifa zinaeleza kwamba baadhi ya Majeruhi baada ya kuwaona viongozi wa Chadema wamefurahi sana kiasi cha kupata nafuu ghafla , na wengine kuanza kutembea wenyewe pamoja na kwamba hapo awali walikuwa wanabebwa! kilichotokea ni kama vile ndani ya Hospitali hiyo umeingia ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Uponyaji .

Hali ndio kama mnavyoona

View attachment 2835884View attachment 2835885View attachment 2835886View attachment 2835888View attachment 2835889View attachment 2835890View attachment 2835891
Mkamateni chawa wa Tulia Lucas Mwashambwa popote alipo alazimishwe kuisoma habari hii.
 
Kama kukubalika muda huu ndani ya miaka 21 mngekuwa mmeshika dola!
Ingekuwa Dola nchi hii inapatikana kwa kura, siku nyingi kingeshaeleweka boss. ANC huko Africa kusini ilichukua zaidi ya miaka 70 kuchukua Dola. Huko kwao kabla ya box la kura kuanza kuheshimiwa, makuburu tu ndio walikuwa wanatangazwa washindi.
 
Ingekuwa Dola nchi hii inapatikana kwa kura, siku nyingi kingeshaeleweka boss. ANC huko Africa kusini ilichukua zaidi ya miaka 70 kuchukua Dola. Huko kwao kabla ya box la kura kuanza kuheshimiwa, makuburu tu ndio walikuwa wanatangazwa washindi.
Endeleeni kuwa wavumilivu ipo siku mtakula mbivu lakini sio kwa udhaifu wa upinzani wa sasa wa X na space ofisj ubelgiji!
 
Basi hapo ukute CCM wanateseka..
🤣🤣🤣
Sidhani kama CCM wanashida sana..

Ipo mijitu binafsi ndiyo yenye shida. Mmojawapo ni huyu bila shaka ndiye chawa wao mkuu anaitwa Lucas mwashambwa...

Huyu jamaa ndiye pekee anaye trend pale Lumumba. Lakini hayajui vizuri ma - CCM...

Yaani yatampiga na kitu kizito kichwani mpaka ataona aibu mwenyewe na kubadili utambulisho (ID) wake hapa jamvini si muda mrefu...
 
Tulishasema mara kadhaa humu JF na Kwingineko, kwamba kwenye Dunia hii hakuna mahali kokote ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu .

Pomoja na utitiri wa hujuma, ambazo ni hujuma za kijinga zilizojaa wivu wa kipumbavu , Chadema imefanikiwa kuingia kwenye Hospitali ya Mkoa wa Manyara kuwaona Majeruhi na kutoa msaada wa mamilioni ya shilingi zikiwemo pesa taslimu

Taarifa zinaeleza kwamba baadhi ya Majeruhi baada ya kuwaona viongozi wa Chadema wamefurahi sana kiasi cha kupata nafuu ghafla , na wengine kuanza kutembea wenyewe pamoja na kwamba hapo awali walikuwa wanabebwa! kilichotokea ni kama vile ndani ya Hospitali hiyo umeingia ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Uponyaji .

Hali ndio kama mnavyoona

View attachment 2835884View attachment 2835885View attachment 2835886View attachment 2835888View attachment 2835889View attachment 2835890View attachment 2835891
DJ anazeeka aisee! Maisha ya binadamu bwana!
 
Back
Top Bottom