Mara ya kwanza nimesema mkisema chadema wametoa kiasi gani cha fedha nitaacha kutumia JF, wewe ukasema labla niache ushoga nimekubali sawa naacha ushoga kama nkitaja pesa zilizotolewa, lkn mpaka sasa unanizungusha tuu hutaji pesa Zilizotolewa 😂Alivyokutoa usichana wako kisha akakupiga kibuti ndiyo hasira zote hizi,kila ukilala unamuota yeye tu. Tulia kwa mumeo mzae dada yangu
MTOTO UTAKUWA WEWEBinafsi sio mfuasi wa CCM ila napenda harakati za vyama vya upinzani
Ila hapa karibuni naona kama CHADEMA wanaleta siasa za kitoto na mbaya zaidi uelewa wa watanzania baadhi umekua sio kama zamani
Hivi kulikua na haja gani kulazimisha kwenda kutoa misaada yao siku ambayo raisi wa nchi anakwenda
Hivi hawakuona kama kumshushia heshima na hadhi yake raisi maana ilikua siku yake rasmi ya kwenda kuona madhara na kutoa misaada mikubwa ikiwemo kuwajengea makazi
Hivi wangechagua siku nyingine baada au kabla ya raisi kufika wangepungukiwa nini!?
Kwa hili CHADEMA mmeferi mjirekebishe hizi ni siasa za kitoto kwenye mambo ya msingi
HIVI MSAADA WA RAISI WA NCHI NA WA CHADEMA VINAWEZA KUFANANA KWELI!?
MJITAFAKARI CHADEMA MAMBO MADOGO KAMA HAYA YANAWASHUSHIA HESHIMA YENU BADO MNAISHI KWA SERA NA HARAKATI ZA KIZAMANI
Box tano za sabuni za kufuria na sukani 200kgs
lengo sio msaada,lengo ni marketing.
ndio maana unaona magwanda na kofia kama kawaida.
lakink dr morel akivaa zake za kijani anasimangwa kwamba hajui tofauti ya sehemu yenye msiba na ya kampeni.
tofauti ya chadema na ccm kwenye aina yao ya mienendo,ndiyo inaninyima imani kwamba kunawezakuwa na tofauti iwapo watashika wao madaraka.
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Makamanda uchwara hawatakuelewa😎Binafsi sio mfuasi wa CCM ila napenda harakati za vyama vya upinzani
Ila hapa karibuni naona kama CHADEMA wanaleta siasa za kitoto na mbaya zaidi uelewa wa watanzania baadhi umekua sio kama zamani
Hivi kulikua na haja gani kulazimisha kwenda kutoa misaada yao siku ambayo raisi wa nchi anakwenda
Hivi hawakuona kama kumshushia heshima na hadhi yake raisi maana ilikua siku yake rasmi ya kwenda kuona madhara na kutoa misaada mikubwa ikiwemo kuwajengea makazi
Hivi wangechagua siku nyingine baada au kabla ya raisi kufika wangepungukiwa nini!?
Kwa hili CHADEMA mmeferi mjirekebishe hizi ni siasa za kitoto kwenye mambo ya msingi
HIVI MSAADA WA RAISI WA NCHI NA WA CHADEMA VINAWEZA KUFANANA KWELI!?
MJITAFAKARI CHADEMA MAMBO MADOGO KAMA HAYA YANAWASHUSHIA HESHIMA YENU BADO MNAISHI KWA SERA NA HARAKATI ZA KIZAMANI
Eneo lililopata madhara ni eneo kubwa na sio kusema labda ni kachumba kamoja,hivyo kama Rais yupo Kinondoni anatoa misaada,na hawa kina Mbowe wakiwa Sinza wanatoa misaada shida ni nini??mbona vitu vidogo havihitaji hata Elimu ya darasa la Saba kufikiri??haya wameenda Hospital kuwaona majeruhi,ni Heshima gani waliyomvunjia Rais??akili nyingine shida sana,kwamba unataka kusema Rais akiwa anahutubia Taifa basi Keko nzima huwa inajaa Taifa na shughuli zote huwa zinasimama??tumia akili ya kichwani na sio nyuma huko
AmenSafi sana makamanda kwa kuwafariji wahanga...
Shetani hajawahi kumshinda MunguIngekuwa amri ya yule Lucas mwashambwa, waheshimiwa Mbowe na timu nzima ya CDM wasingekanyaga Katesh
Kuna vya maana basi unaweza kuta yanga au simba wametoa vikubwa kuliko chadema
Raisi anakuja na hatima ya wana hanang kwa kuwajengea nyumba na vitu vingine vya muhimu
Wao wanataka kujitia kimbele mbele kuondoa utulivu
Haiwezekani bhana, acheni unafiki bhana nyie ccm 😂 kwa jinsi navowajua chadema wanavopenda watanzania hawawezi kufanya hivyo.Box tano za sabuni za kufuria na sukani 200kgs
Sasa wewe ukisikitishwa au kuamua kulia wiki nzima itasaidia nini? Kikubwa ni kwamba Mhe rais kafika na Chadema nao wamefika kuwafariji wahanga, na pengine Mhe Rais ndiye aliyefutilia mbali zuio la kijinga la Police au uongozi wa mkoa. Msiba au janga likitokea halichagui nani aende lini na saa ngapi, ila nyie vilaza ambao kila kitu mnakipolitisize ndiyo wenye shida but this time imekula kwenu.Binafsi nimesikitishwa sanaa wanavyo taka huruma kwa wananchi kwa jambo la kipuuzi walilo fanya