Pamoja na kuhujumiwa CHADEMA yafika Hospitali ya Mkoa na kusalimia Majeruhi. Yachangia pesa

Mkuu Erythrocyte bado tuu hujafanikiwa kujua chama chetu cha kishupavu kimefanikiwa kutoa msaada wa mamilioni mangapi.?
Au mlichoka kuhesabu mkaamua kuyabeba hvy hvy.?
Ety mkuu unaendaje hapo.!
 
Ni sahihi unayoyaongea ila tatizo ni kwamba kuna wahuni walijibana kona kusubiri rais atakuwepo lini eneo husika ili na wao wakapate attention.

Si unakumbuka kuna kiongozi wa chama flan nimekisahau jina akiwa mbunge kipindi kile cha Ndugai, alikunywa konyagi mpaka kuvunjika mguu na kusema n serikali wametuma watu ili wamjeruhi, unadhani alifanya vile ili iweje c ili kutafuta attention kwa umma
 
Alivyokutoa usichana wako kisha akakupiga kibuti ndiyo hasira zote hizi,kila ukilala unamuota yeye tu. Tulia kwa mumeo mzae dada yangu
Naona mke mwenzako Erythrocyte anagonga like Kwenye comment zinazomuunga mkono tuu lkn zile comment za kuambiwa ukweli anaziona kama konyagi ile ambayo ilimvunja mguu mume wenu Mbowe mpaka mkawa mnakosa huduma ya ndoa 😂

SAGAI GALGANO pamoja na ndugu yangu wa damu kabisa Erythrocyte najua mnaelewa sana nachoongea ila tatizo ni upande ambao tayari mmeamua kuishi napo mnajua kabisa ni pabovu ila mtafanyaje sasa na ndoa ni ya kikristo na hakuna kuachana.

Nawakumbusha tuu, hakuna chama chcht cha siasa sio CCM sio CHADEMA sio TLP wala sio chama chcht kile kitakachowaletea maendeleo, kila mtu anaangalia tumbo lake na ndugu zake.

NB: Kama nyie mpo kwenye system ya ulaji wa chadema bc hongereni maana kazi ya kuwatetea mnaifanya kwa juhudi kubwa mno.
 
Wanasiasa wote Mungu anawaona na maisha ya kuigiza
 
Hawa vichwa maji wanaongea ujinga utafikiri ni tanzania peke yake ndiyo yenye rais duniani.
 
Watanzania tujifunze kuwa na Solidality bila kujali vyama pale ambapo kumetokea Majanga, Maafa, nk
Tanzania kwanza Vyama baadaye!
Kwa hiyo Watanzania wote tuungane na Mheshimiwa Rais Dr.Samia Suhuhu kuona namna gani Serikali inaweza kuwasaidia wananchi wenzetu wa Manyara!
Hongera CDM kwa kuonyesha Solidality!
 
Naunga mkono!

Nadhani Vyama vyote vingekabidhi misaada yote kwa Serikali ili kuonyesha Solidality na mheshimiwa Rais katika kupambana na janga hili.

"Tanzania kwanza siasa za Vyama baadaye."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…