Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Sasa Mbowe hayo magwanda na hako kakofia ka m4c vya nini?😎😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili pimbi weweChadema wache mzaha
Basi tuh kusambaza siasa za kinafiki na chuki wodiniSasa Mbowe hayo magwanda ya nini?😎😁
Kwani ni kosa kisheria??Sasa Mbowe hayo magwanda na hako kakofia ka m4c vya nini?😎😁
Taarifa zinaeleza kwamba baadhi ya Majeruhi baada ya kuwaona viongozi wa Chadema wamefurahi sana kiasi cha kupata nafuu ghafla , na wengine kuanza kutembea wenyewe pamoja na kwamba hapo awali walikuwa wanabebwa! kilichotokea ni kama vile ndani ya Hospitali hiyo umeingia ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Uponyaji
Hapo usishangae Makonda kesho akaenda, labda wakosekane punda wa yeye kupanda. Hakuna kitu kinaleta wivu kama ulazimishe kupendwa kisha hupendwi, na mwingine automatically anakubalika tu.Mbarikiwe lakini moyo wa kweli hakuna mnasubiri matukio!
Acha kumuiga Lucas Mwashambwa kwenye uandishi. Tafuta identity yako. Huu uzi ni kama vile umeandikiwa na MwashambwaTaarifa zinaeleza kwamba baadhi ya Majeruhi baada ya kuwaona viongozi wa Chadema wamefurahi sana kiasi cha kupata nafuu ghafla , na wengine kuanza kutembea wenyewe pamoja na kwamba hapo awali walikuwa wanabebwa! kilichotokea ni kama vile ndani ya Hospitali hiyo umeingia ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Uponyaji .
View attachment 2835884View attachment 2835885View attachment 2835886View attachment 2835888View attachment 2835889View attachment 2835890View attachment 2835891
Pomoja na utitiri wa hujuma, ambazo ni hujuma za kijinga zilizojaa wivu wa kipumbavu , Chadema imefanikiwa kuingia kwenye Hospitali ya Mkoa wa Manyara kuwaona Majeruhi na kutoa msaada wa mamilioni ya shilingi zikiwemo pesa taslimu
Sema utaacha kutumika kinyume cha maumbile,na sijui utaishije sasa maana ndiyo kitega uchumi chakoUkitaja kiasi cha fedha kilichotolewa na chadema, naacha kutumia JF
Jibu gani hilo?😎😎Kwani ni kosa kisheria??
Ukiacha kutumia makalio kufikiri itapendeza zaidiBasi tuh kusambaza siasa za kinafiki na chuki wodini
Kunifananisha mimi na Mwashambwa ni sawa na kunitukana matusi ya nguoni , nakupa onyo la mwishoAcha kumuiga Lucas Mwashambwa kwenye uandishi. Tafuta identity yako. Huu uzi ni kama vile umeandikiwa na Mwashambwa
Sasa Mbowe hayo magwanda na hako kakofia ka m4c vya nini?[emoji41][emoji16]
Sawa, haya tajeni kiasi cha pesa kilichotolewa na chademaSema utaacha kutumika kinyume cha maumbile,na sijui utaishije sasa maana ndiyo kitega uchumi chako
Lucas Mwashamba amejiunga mwaka Jana hapa jukwaani, huyu Yuko miaka dahari hapa jf na huo ndio uandishi wake. Tazama post zake kabla ya huyo Lucas kujiunga ndio utajua nani anamuiga mwenzake.Acha kumuiga Lucas Mwashambwa kwenye uandishi. Tafuta identity yako. Huu uzi ni kama vile umeandikiwa na Mwashambwa
Mwamposa huwa haendi hospitali.Ni jambo jema [emoji3]
Hii Taarifa chumvi nyingi Kwamba Mbowe kama Mwamposa[emoji23][emoji23]
Kujiunga mwaka jana sio tatizo. Huyu jamaa kaanza kumuiga Lucas Mwashambwa kwenye uandishi. Inakera sanaLucas Mwashamba amejiunga mwaka Jana hapa juu, huyu Yuko miaka dahari hapa jf na huo ndio uandishi wake. Tazama post zake kabla ya huyo Lucas kujiunga ndio utajua nani anamuiga mwenzake.
Uongo hupingwa na ukweli , kama unabisha weka ukweli wakoErythrocyte kwa nini unaongeza chumvi?😎