Pamoja na kuitafuta miaka yangu hii ya 60 bado nikipanda Dala Dala nawapisha Wazee, ila Vijana 'mnauchuna' tu Vitini

Pamoja na kuitafuta miaka yangu hii ya 60 bado nikipanda Dala Dala nawapisha Wazee, ila Vijana 'mnauchuna' tu Vitini

Imagine uko mbagara unaenda kawe kuingia tu ni kwakugombania afu fikilia io safari ilivo ndefu mara upo zakiemu unamuona mzee kasimama inabid ukaze kichwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Punguzeni chips mayai aisee, enzi zetu unasafiri toka Arusha mpaka Tanga au Dar huku umesimama kwenye Bus. Yaani wewe ni kubadilisha tuu staili ya kusimama, sembuse Mbagala to Kawe?
 
yani unatoka masaki unaitafuta Gongo la Mboto.. Kutokana na uchovu wa kazi nzito na kupigika kazini unaona hapa nijisogeze kidogo kituo cha nyuma nizunguke na gari, unatulia zako kweny siti unanyosha kiuno unawaza ya kwako. Mbele kidgo baada ya gari kugeuka anakuja mzee mweny kanguvu zake anakusimamia kwenye siti yako kihuruma.. Dah wazee embu mtusamehe muda mwingine maana mtatupa laana za bure.

Binafsi huwa nawapisha watu wazima ila napima na utu uzima wao na namna ya upatikanaji wa gari haiwezekan gari zipo za siti haupandi uje upande lile limejaa kwa advantage ya uzee nitakupisha siti, aisee sifumbi macho wala sivai earphone ndo kwanza nakukodolea macho unavoteseka kwa kusimama.
Yale yale ya ile tafiti ya vijana 9 kati ya 10 hawana maadili.. [emoji23]
 
We unaona gari imejaa na hakuna siti halafu unaingia.

Kuna wazee wengine wanabagua siti, ukimuachia anaiangalia kwanza, anaitikisa aone kama imetulia. 😁

But, tuwaachieni wazee siti! 😀🙌
Sema kuna sura zingine zinachanganya, unakuwa humuelewi ni mzee au kijana.
 
Ndiyo maana mnaishia tu Kuvuta Bangi, Kupewa hovyo Mimba, mnafeli hovyo Mashuleni, Akili hamna huku wengine mkipenda kuwa kama Dada zenu wakati ni Watoto wa Kiume.

Nidhamu ni Ufunguo wa kila Jambo na chanzo cha Baraka Maishani hasa ikionyeshwa na Mtoto / Kijana mbele ya Wakubwa zake hata kama siyo Wazazi wake.

Haiwezekani GENTAMYCINE nimepanda DalaDala ambalo lina Vijana wa Kiume na Like wengi ( tena Wanafunzi ) tena nimekaa Siti ya Nyuma halafu anapanda Bibi na Wanamchunia kabisa hadi Mimi wa nyuma nikampisha akakaa na nikasimama hadi mwisho wa Safari.

Halafu kila Ijumaa, Jumamosi na Jumapili mnaenda Kuswali / Kusali kwa Mungu. Hivi mnadhani Mwenyezi Mungu ni Mwendawazimu na Juha kama mlivyo kwa Nidhamu zenu hii mbaya na Unafiki kabisa awapeni Baraka zake na mfanikiwe?

Hovyo kabisa......!!!!!!

Sema Vijana wa siku hizi akili zao zinamrundikano wa uchafu.
 
Haya si ndio mapumbavu yanayopiga magoti Kwa mwanamke kumvalisha Pete ya engagement? akili wazitowe wapi?
Mimi ni kijana ila huu upumbavu wa vijana wapumbavu kupiga magoti eti kumvisha mwanamke pete ya uchumba ni ujinga uliopitiliza.

Tena unakuta limepiga magoti huku linalia.

NB: Mimi huwa nawapisha siti ili wazee, wamama wenye watoto ama wajawazito wakae.

Hata kama mtu amenizidi umri tu sio lazima awe mzee nampisha.
 
We unaona gari imekajaa na hakuna siti halafu unaingia.

Kuna wazee wengine wanabagua siti, ukimuachia anaiangalia kwanza, anaitikisa aone kama imetulia. 😁

But, tuwaachieni wazee siti! 😀🙌
Sema kuna sura zingine zinachangaja, unakuwa humuelewi ni mzee au kijana.
Unamaanisha Humphrey Polepole na Stive Nyerere?
 
Ndiyo maana mnaishia tu Kuvuta Bangi, Kupewa hovyo Mimba, mnafeli hovyo Mashuleni, Akili hamna huku wengine mkipenda kuwa kama Dada zenu wakati ni Watoto wa Kiume.

Nidhamu ni Ufunguo wa kila Jambo na chanzo cha Baraka Maishani hasa ikionyeshwa na Mtoto / Kijana mbele ya Wakubwa zake hata kama siyo Wazazi wake.

Haiwezekani GENTAMYCINE nimepanda DalaDala ambalo lina Vijana wa Kiume na Like wengi ( tena Wanafunzi ) tena nimekaa Siti ya Nyuma halafu anapanda Bibi na Wanamchunia kabisa hadi Mimi wa nyuma nikampisha akakaa na nikasimama hadi mwisho wa Safari.

Halafu kila Ijumaa, Jumamosi na Jumapili mnaenda Kuswali / Kusali kwa Mungu. Hivi mnadhani Mwenyezi Mungu ni Mwendawazimu na Juha kama mlivyo kwa Nidhamu zenu hii mbaya na Unafiki kabisa awapeni Baraka zake na mfanikiwe?

Hovyo kabisa......!!!!!!
Si umehitimu SAUT miaka kumi tu iliyopita, uzee wa 60 unautoa wapi?
 
Imagine uko mbagara unaenda kawe kuingia tu ni kwakugombania afu fikilia io safari ilivo ndefu mara upo zakiemu unamuona mzee kasimama inabid ukaze kichwa😂😂😂
Ilinikuta hii, ubungo mbagala enzi hizo stendi ya daladala ipo ubungo palipokuwa na mzani karibu na jengo la tanesco, tumepanda libasi lireeefu tupo level seat kapanda bibi wa 70+ tukaanza tegeana kumpisha, ilikuwa mtihani kwangu na bahati mbaya nilifeli
 
huna gari mzee? uliendekeza mademu ujanani ee? Basi pambana🤣🤣.kusema kweli wazee wengi msinge endekeza ujinga mngekuwa mnamiliki vitu vizuri vingi.mimi Nampa lifti mbibi tuu.wakiume wapambane🤣.kwanza wanashindana na sisi kugombania madem shenzii😕
 
Punguzeni chips mayai aisee, enzi zetu unasafiri toka Arusha mpaka Tanga au Dar huku umesimama kwenye Bus. Yaani wewe ni kubadilisha tuu staili ya kusimama, sembuse Mbagala to Kawe?
Dunia inabadilika sio lazima na sisi tusimame ivo kama nyie
 
Uzee sio umri ni kujitunza. Nina 63 na sijisikii kabisa kama mzee. Na napanda daladala. Na mbususu nakula.
Sema na mbususu unagonga!
Ukisema na mbususu unakula, unamaanisha kuwa huwa unazama chumvini mkuu!
 
Back
Top Bottom