Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mkuu madaraka na wananchi ni mambo ya kwenda na tahadhari kubwa sana.Jidu hauko serious ndg yangu,!
Unaweza kukataa maagizo ya Mkuu mwenye level ya jiwe hapa Africa?
Sawa mada yako nzuri ila unajifurauisha
Hawawzi kupinga Ma CDF,IGP,DGTISS,PM sembuse ki Jafo?
Acha masihala bana,Namba 1 Tanzania ana nguvu kuliko,leo Kijafo kikatae kutekeleza matakwa yake,!kwani chenyewe hakipendi kupumua au watoto wake waende chooni?
Ushawishi na kukubalika kwa kila linaloamuliwa ni muhimu sana kwaniaba ya wananchi hao hao.
Serikali na vyombo vyake vyote vya ulinzi na usalama haviwezi kufua dafu mbele ya umma uliotofauti na wao.
Kumbuka serikali na vyombo vyake vyote hawawezi fika watu laki tano nchi nzima, lakini kwa Jiji kama DSM hata wakiandamana watu laki tano hakuna wa kuwazuia.
Si mfano mzuri lakini hizi sarakasi zisizo na tija zinaweza kutufikisha huko.
Jana Ujerumani ili adhimisha miaka 30 ya kuvunja ukuta uliotenganisha Ujerumani magharibi na mashariki.
Siku hiyo watu wengi sana waliandamana, na hivyo basi askari kushindwa kupiga risasi kujihami au kushambulia.
Rais wa Ujerumani mashariki Erick Honecker ilibidi tu ajifiche kutoka hasira za wananchi.
Tuliona na tulikuwepo 1989.
Hiyo ndo nguvu ya wananchi wasipokubaliana na msimamo rasmi.