Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Hicho chama kinahusika kwenye kila madudu yanayotokea kwenye nchi yetu. Hakuna jambo baya kwa Watanzania ambalo halijatokana na CCM kuwa madarakani. Lakini CCM wenyewe kwa kujiamini kabisa wanasema kwamba watatawala Tanzania milele?
Haya ni maneno yanayoonesha CCM ina kiburi cha uzima kiasi kwamba inaamini mpaka kyama yenyewe itakuwa inaitawala Tanzania.
Au CCM inawaona watanzania ni mazezeta wasioweza kuwatoa madarakani?
Haya ni maneno yanayoonesha CCM ina kiburi cha uzima kiasi kwamba inaamini mpaka kyama yenyewe itakuwa inaitawala Tanzania.
Au CCM inawaona watanzania ni mazezeta wasioweza kuwatoa madarakani?