Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Fikiria Odinga arambishwe asali ana Ruto unafikiri nini kitatokeaHiyo kulambishwa asali ni jambo haramu ama halali??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikiria Odinga arambishwe asali ana Ruto unafikiri nini kitatokeaHiyo kulambishwa asali ni jambo haramu ama halali??
Huko kulambishwa asali ni jambo halali ama haramu!!??Fikiria Odinga arambishwe asali ana Ruto unafikiri nini kitatokea
Mbona tunaongozwa vizuri tu, kama kuna tatizo tunawakosoe wajirekebishe.Kuongoza nchi pekee ndiyo kigezo cha kupima uimara wa CCM? Hivi hatuwezi kusema kigezo cha kupima uimara wake kiwe ni jinsi gani wanaiongoza nchi!!??
Kitendo cha askari polisi na maafisa wa jeshi kuwa makada wa CCM kinyume na katiba isemayo hawapaswi kuwa wanachama wa vyama vya siasa ndio kiburi chao kinapoanzia.Hicho chama kinahusika kwenye kila madudu yanayotokea kwenye nchi yetu. Hakuna jambo baya kwa Watanzania ambalo halijatokana na CCM kuwa madarakani. Lakini CCM wenyewe kwa kujiamini kabisa wanasema kwamba watatawala Tanzania milele?
Haya ni maneno yanayoonesha CCM ina kiburi cha uzima kiasi kwamba inaamini mpaka kyama yenyewe itakuwa inaitawala Tanzania.
Au CCM inawaona watanzania ni mazezeta wasioweza kuwatoa madarakani?
Katiba mbovu, ujinga na upole wa watanzania ndio assets za CCM.Hicho chama kinahusika kwenye kila madudu yanayotokea kwenye nchi yetu. Hakuna jambo baya kwa Watanzania ambalo halijatokana na CCM kuwa madarakani. Lakini CCM wenyewe kwa kujiamini kabisa wanasema kwamba watatawala Tanzania milele?
Haya ni maneno yanayoonesha CCM ina kiburi cha uzima kiasi kwamba inaamini mpaka kyama yenyewe itakuwa inaitawala Tanzania.
Au CCM inawaona watanzania ni mazezeta wasioweza kuwatoa madarakani?
Shida yako ndio hiyo kila kitu wanachofanya Chadema unataka kujilinganisha na CCM, Chadema kikuwe kunahitajika kijitofautishe na CCM kimatendoNi kweli, na baadae akarudi CCM. Lakini CHADEMA ndiyo mwaka 2008 walimwita Lowassa Fisadi na kuweka hadharani ni kwa nini Lowassa ni fisadi.. Nakumbuka Mzee Nimrod Mkono alikuja na kuelezea kwa undani kimetokea nini baada ya Lowassa kuitwa Fisadi.
Baada ya Mzee Mkono kutoa maelezo hoja ikatokea kiasi alicholipwa Mzee Mkono na serikali kutokana na Kesi iliyosababishwa na Maamuzi ya Lowassa akiwa waziri wa maji. Kwa ivo suala la Lowassa kuitwa fisadi si la kuendelea. Mtu akiwa mwizi na akaacha wizi utaendelea kumwita mwizi? Ukiendelea kumwita mwizi mtu aliyeacha wizi, huo utakuwa ni uoenzi.
Lakini wakati CHADEMA wanamwita Lowassa fisadi wenye mwanachama wao wakati huo yaani CCM, walikuwa wanasemaje??
🤣🤣🤣Fikiria Odinga arambishwe asali ana Ruto unafikiri nini kitatokea
Hakuna wapinzani. Watakapotokea CCM watabadilisha msimamo wao.
Upinzani utakaotokana na Watanzania, sio kikundi fulani cha watu wachache, Wenye interest zao na kulazimisha Agenda zao ndio ziwe Agenda za Watanzania.
Siku Watanzania watakapoungana kutetea maslahi yao ndio utakuwa Mwisho wa CCM. Kwa sasa No, waliopo Nje ni wabaya kuliko waliopo ndani.
Sijui kwa miaka 2000 ijayo. Lakini mimi na wewe tutakufa tutaiacha CCM madarakani, isipokuwa hivyo niite mbwa. Tunza hii comment siku upinzani wakishinda nikumbushe
HAupo jirani na Mtanzania yoyote umuulize?Agenda za Watanzania ni zipi??
Haki ya kuuliza wanayo. Je umeona wanauliza? Si wamekaa kimya wanaona kila kitu sawa?
Wapinzani walimwita Lowassa fisadi na wakamweka kwenye list yao ya list of shame na wakasema Wana ushahidi wa ufisadi wake lakini wakaja kumteua kuwa mgombea wao wa Uraisi
HAupo jirani na Mtanzania yoyote umuulize?
Waulize watanzania waliopo Jirani na weweNiko jirani zaidi na wewe ninayekuuliza sasa hivi.
Ajenda za Watanzania ni zipi?
Ni sawa haina tatizo. Atayakumbuka maneno yangu.Unaweza kufa ukamuacha mwenzako hai, hataweza kukumbusha.