Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Sina cha kuuliza thats why hujaona nikilalamika. Na hata nikilalamika haitasaidia maana hakuna mbadala wa CCM hadi sasa.Si uulize wewe sasa kile unachoona hakijaulizwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina cha kuuliza thats why hujaona nikilalamika. Na hata nikilalamika haitasaidia maana hakuna mbadala wa CCM hadi sasa.Si uulize wewe sasa kile unachoona hakijaulizwa
CCM haitatawala milele, nyakati zinakuja ambapo chama mojawapo ya Upinzani itashika dola.Hicho chama kinahusika kwenye kila madudu yanayotokea kwenye nchi yetu. Hakuna jambo baya kwa Watanzania ambalo halijatokana na CCM kuwa madarakani. Lakini CCM wenyewe kwa kujiamini kabisa wanasema kwamba watatawala Tanzania milele?
Haya ni maneno yanayoonesha CCM ina kiburi cha uzima kiasi kwamba inaamini mpaka kyama yenyewe itakuwa inaitawala Tanzania.
Au CCM inawaona watanzania ni mazezeta wasioweza kuwatoa madarakani?