Pamoja na udhaifu wake wote ilionao, ni kwanini CCM inaamini itatawala Tanzania milele?

Pamoja na udhaifu wake wote ilionao, ni kwanini CCM inaamini itatawala Tanzania milele?

Watanzania wanataka chama mbadala Bora Mara mbili ya chama tawala je hicho chama kipo? Na Kama kipo nitajie ubora wake uko wapi?
Kwa mtazamo wangu CCM kimepoteza kitambo sana sifa ya kuiongoza Tanzania. Na CCM ni chama ambacho ubora wake upo chini kwa asilimia 20 (20%) na kinachoifanya ibakie madarakani ni kwa kuwa inaiongoza serikali inayokusanya kodi.

Kwanza kama unauona ubora kwenye CCM jua kiurahisi tu huwezi kuuona ubora kwenye vyama vingine!!
 
Yaani CCM inayowasababishia madhila ni bora kuliko wapinzani ambao hawahusiki kuwaletea shida walizonazo?? Ukigeugeu wa upinzani upo kwenye nini hasa!!??
Kutokuwa na madaraka haifanyi watu kutokukujadili watu wanapima mwenenendo wako kiujumla Wapinzani wamekuwa mapingwa wakukosoa lakini hawaji na hoja mbadala unaposema CCM imewaletea Watanzania umasikini alafu uoneshi sera zako ni zipi zitakazowezesha kuondoa umasikini wawatanzania hapo unakuwa uleti utofauti wako na CCM
 
Kwa mtazamo wangu CCM kimepoteza kitambo sana sifa ya kuiongoza Tanzania. Na CCM ni chama ambacho ubora wake upo chini kwa asilimia 20 (20%) na kinachoifanya ibakie madarakani ni kwa kuwa inaiongoza serikali inayokusanya kodi.

Kwanza kama unauona ubora kwenye CCM jua kiurahisi tu huwezi kuuona ubora kwenye vyama vingine!!
Hakuna mtu anayejielewa anayesema CCM ni chama Bora ila ukicompare na Upinzani wetu wasasa anaona CCM ina uwafadhari wa ubovu kuliko vyama vya Upinzani
 
Kutokuwa na madaraka haifanyi watu kutokukujadili watu wanapima mwenenendo wako kiujumla Wapinzani wamekuwa mapingwa wakukosoa lakini hawaji na hoja mbadala unaposema CCM imewaletea Watanzania umasikini alafu uoneshi sera zako ni zipi zitakazowezesha kuondoa umasikini wawatanzania hapo unakuwa uleti utofauti wako na CCM
Kwa mfano CHADEMA wanaamini kwamba sehemu ya umaskini wa watanzania umeletwa na mfumo wa kiutawala (Central Goverment system) ambao inabidi kila kitu cha nchi lazima kiamuliwe toka makao makuu ya serikali.

CHADEMA wanaamini kwamba ili kuondoa hilo tatizo la kusubiri mtu mmoja kufanya maamuzi ya nchi nzima, njia rahisi ni kuendesha nchi kwa mtindo wa shirikisho (Fedral Government system). Ukisema upinzani huwa hawatoi majawabu kwa hali ya Tanzania unakuwa unawakosea. Sema labda hukubaliani na majawabu yao wanayotoa.
 
Hicho chama kinahusika kwenye kila madudu yanayotokea kwenye nchi yetu, Hakuna jambo baya kwa Watanzania ambalo halijatokana na CCM kuwa madarakani. Lakini CCM wenyewe kwa kujiamini kabisa wanasema kwamba watatawala Tanzania milele?

Haya ni maneno yanayoonesha CCM ina kiburi cha uzima kiasi kwamba inaamini mpaka kyama yenyewe itakuwa inaitawala Tanzania.

Au CCM inawaona watanzania ni mazezeta wasioweza kuwatoa madarakani?
kusema itatawala milele ni kufuru ila inaweza kuishi milele kama itataka na wengine watawale, kinyume cha hapo siku moja itakufa mazima
 
Hicho chama kinahusika kwenye kila madudu yanayotokea kwenye nchi yetu, Hakuna jambo baya kwa Watanzania ambalo halijatokana na CCM kuwa madarakani. Lakini CCM wenyewe kwa kujiamini kabisa wanasema kwamba watatawala Tanzania milele?

Haya ni maneno yanayoonesha CCM ina kiburi cha uzima kiasi kwamba inaamini mpaka kyama yenyewe itakuwa inaitawala Tanzania.

Au CCM inawaona watanzania ni mazezeta wasioweza kuwatoa madarakani?
Tatizo hakuna wapinzani
 
ikubali kuwa kuna wengine wanaweza kutawala na ijiandae na hapo itaishi milele
 
Tumekupa majibu lakini inaonesha wewe una majibu yako binafsi
Majibu ndiyo lakini siyo nyumbulifu. Unaposema wapinzani hawana sera ama ni vigeugeu ni lazima uweke na ufafanuzi kidogo. Kinyume cha hapo ni kwamba unasema kitu bila ya kuwa na uwezo wa kukifanya kisimame chenyewe!!
 
Jishangaeni wenyewe watanzania sasa,kama wana mapungufu yote hayo tena ya wazi kabisa wamefanya nn kukomesha hilo duduwasha
mapumngufu ni katika sera si katika maguvu. wana kisu na wanakula nyama
 
Majibu ndiyo lakini siyo nyumbulifu. Unaposema wapinzani hawana sera ama ni vigeugeu ni lazima uweke na ufafanuzi kidogo. Kinyume cha hapo ni kwamba unasema kitu bila ya kuwa na uwezo wa kukifanya kisimame chenyewe!!
Wapinzani walimwita Lowassa fisadi na wakamweka kwenye list yao ya list of shame na wakasema Wana ushahidi wa ufisadi wake lakini wakaja kumteua kuwa mgombea wao wa Uraisi
 
kitu muhimu kabisa cha kuiondoa ccm mamlakani ni katiba na sheria rafiki kutoka kwa wananchi
 
Hicho chama kinahusika kwenye kila madudu yanayotokea kwenye nchi yetu, Hakuna jambo baya kwa Watanzania ambalo halijatokana na CCM kuwa madarakani. Lakini CCM wenyewe kwa kujiamini kabisa wanasema kwamba watatawala Tanzania milele?

Haya ni maneno yanayoonesha CCM ina kiburi cha uzima kiasi kwamba inaamini mpaka kyama yenyewe itakuwa inaitawala Tanzania.

Au CCM inawaona watanzania ni mazezeta wasioweza kuwatoa madarakani?
kwa katiba hii na kwa sheria hizi za Uchaguzi ni sawa kabisa wawe na kiburi hiki.
 
Wapinzani walimwita Lowassa fisadi na wakamweka kwenye list yao ya list of shame na wakasema Wana ushahidi wa ufisadi wake lakini wakaja kumteua kuwa mgombea wao wa Uraisi
Ni kweli, na baadae akarudi CCM. Lakini CHADEMA ndiyo mwaka 2008 walimwita Lowassa Fisadi na kuweka hadharani ni kwa nini Lowassa ni fisadi.. Nakumbuka Mzee Nimrod Mkono alikuja na kuelezea kwa undani kimetokea nini baada ya Lowassa kuitwa Fisadi.

Baada ya Mzee Mkono kutoa maelezo hoja ikatokea kiasi alicholipwa Mzee Mkono na serikali kutokana na Kesi iliyosababishwa na Maamuzi ya Lowassa akiwa waziri wa maji. Kwa ivo suala la Lowassa kuitwa fisadi si la kuendelea. Mtu akiwa mwizi na akaacha wizi utaendelea kumwita mwizi? Ukiendelea kumwita mwizi mtu aliyeacha wizi, huo utakuwa ni uoenzi.

Lakini wakati CHADEMA wanamwita Lowassa fisadi wenye mwanachama wao wakati huo yaani CCM, walikuwa wanasemaje??
 
Back
Top Bottom