Pamoja na uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda. Rais Samia bado hakubaliki kanda ya ziwa

Pamoja na uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda. Rais Samia bado hakubaliki kanda ya ziwa

Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Hata dhalimu mwenyewe hakuwa na ushawishi huo huko Kanda ya ziwa, ndio maana aliishia kupora uchaguzi. Isitoshe huyo mama hahitaji kura hata Moja kuwa rais wa nchi hii, ni suala la kuagiza vyombo vya Dola na time ya uchaguzi kumtangaza kwa kura azitakazo. Dhalimu magu ndio aliasisi box la kura kutoheshimiwa.
 
Hata dhalimu mwenyewe hakuwa na ushawishi huo huko Kanda ya ziwa, ndio maana aliishia kupora uchaguzi. Isitoshe huyo mama hahitaji kura hata Moja kuwa rais wa nchi hii, ni suala la kuagiza vyombo vya Dola na time ya uchaguzi kumtangaza kwa kura azitakazo. Dhalimu magu ndio aliasisi box la kura kutoheshimiwa.
Ingekuwa Kiswahili cha Kenya wangwuliza, "Ati?"
 
Hata dhalimu mwenyewe hakuwa na ushawishi huo huko Kanda ya ziwa, ndio maana aliishia kupora uchaguzi. Isitoshe huyo mama hahitaji kura hata Moja kuwa rais wa nchi hii, ni suala la kuagiza vyombo vya Dola na time ya uchaguzi kumtangaza kwa kura azitakazo. Dhalimu magu ndio aliasisi box la kura kutoheshimiwa.
Usilete chuki zako hapa. JPM alikubalika kila kona ya Tanzania. Hilo la wizi wa kura linategemea
Umesahau 2010 CHADEMA walipata kura nyingi tu ?
 
Ungeamka hapo ulipolala usingizi itoke hata nje upate hewa safi .maana naona unaandika kama vile kipofu wa akili na macho. Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan anakubalika sana na mamilioni ya watanzania.anakubalika na kuoneshwa kutoka kila kona ya Taifa letu.hakuna kanda au mkoa ambao Rais Samia hakubaliki.

Kinachokutesa wewe na kukupofusha akili yako ni chuki zako binafsi za kijinga na kishetani.sasa wewe endelea na chuki zako na utaona namna mh Rais wetu anavyozoa na kukomboa kura zote kwa kishindo uchaguzi ujao.

Hakuna mtanzania mwenye kilo timamu anayeweza kumnyima Rais Samia kura ya ndio kwa mambo makubwa aliyotafanya kwa Taifa hili ndni ya muda mfupi.ona saizi wanafunzi wanaenda shuleni kwa raha kabisa bila bughudha baada ya kuwa wamejengewa madarasa ya kutosha na kulipiwa ada yote na Rais Samia.
Umesahau mawasiliano mkuu
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Acha kusema uongo. Kanda ya Ziwa Victoria siyo kama unavyofikiria wewe. Mwache mama achape kazi, na kazi iendelee. Kwani hao wawili uliowataja wanawakilisha jamii ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara.
 
Ukitaka kupima kama unakubalika na raia afanye kitu kimoja kirahisi tu!
Aruhusu hizi Oline media ama luninga za kimtandao zikusanye maoni kuhusu utendaji kazi wake na mambo ambayo anafanya kama watanganyika wanamuelewa.
Yaani hakuna siku Mzanzibar atakuja kuiacha Zanzibar aje aiendeleze Tanganyika kamwe! Chukua hiyo Mkuu!
Mbona Mchato alijenga uwanja wa ndege wa kimataifa sasa hivi hautumiki
 
Kanda ya ziwa ni jadi, kukubali kutawaliwa na mwanamke ni kipengele kikubwa - CCM bila kutumia mbinu za kigaidi kumnadi mama - wasahau.
Mama atapita kwa kishindo, garagabaho.
 
Mbona Mchato alijenga uwanja wa ndege wa kimataifa sasa hivi hautumiki
Chato ipo Zanzibar au Tanganyika!? Kama ipo Tanganyika wala sina shida! Kwa sababu fedha za Tanganyika zinajenga Tanganyika ila Je fedha zipi za Pemba zinajenga Geita!? Au fedha kiasi gani za Forodhani zinajenga Njombe? Ndo maana suluhu ni katiba mpya tu Mkuu
 
Labda wewe uliye kalia umbea nauzushi wako.lakini mamilioni ya watanzania wanampenda sana Rais Samia na wanaendelea kumuunga mkono kwa nguvu zao zote.
Rais mwenyewe anajua ni nani wanamwambia ukweli! Na anajua wale wanaompamba ili kutafuta teuzi wajipatie mkate wa kila siku.

Umesahau kuweka namba yako ya simu mkuu.
 
Mama Samia ni Rais wa Tanzania na mwenyekiti wa CCM.
Kwa sasa, bado wakati wa kampeni. Kazi inayotakiwa kwa sasa ni kuhakikisha chama kinakubalika ili wakati wa uchaguzi wagombea wake wachaguliwe ambapo mgombea urais yupo ndani.
 
Back
Top Bottom