Pamoja na uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda. Rais Samia bado hakubaliki kanda ya ziwa

Pamoja na uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda. Rais Samia bado hakubaliki kanda ya ziwa

Labda awadanganye na ajira vijana wanasota mtaani!, Biteko Wala Makonda hawajawahi kuwa na ushawishi wala hawafahamiki Kanda ya ziwa.. alichofanya ni ufinyu wa fikra tu!. Maisha Bora, utendaji kazi ndio vinampaisha mtu sio kumteua mtu fulani.
 
2025 tunafunga hesabu asubuhi tu kabla umande haujakauka mama yuko Chamwino
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Duuuh ! Eeee bhana Eeeee !!!
 
Kama hilo ndilo lilikuwa lengo la kumteua Biteko na Makonda, basi amepotea kabisa.

Kwani hao watu wana nini walichofanya kanda ya ziwa hadi wawe na ushawishi? Mmoja ni mhamiaji haramu toka nchi jirani, mwingine ni tapeli kuanzia jina mpaka kupora nyumba za akina GSM, anafahamika ni muondoaji wa roho za watu. Hawa watakuwa na ushawishi gani!!
 
CCM mwaka 2025 wapo kwenye weak side:

Unadhani ni kwa nini tangu siasa za vyama vingi zianze, CCM haijawahi kumteua mgombea wa kiti cha Urais toka Zanzibar? Chama chochote ambacho kinamweka mgombea wa kiti cha Urais wa JMT toka Zanzibar, kipo kwenye weak side. Inafahamika Zanzibar wana Rais wao kule kwao.

Chama chochote kinachoweza kumweka mgombea wa kiti cha Urais mwanamke, kipo kwenye weak side. Dunia nzima, statistically, ni nchi chache sana zimewahi kuwa na marais wanawake wa kuchaguliwa.

Vyama vya upinzani vijipange vizuri, CCM ipo kwenye weak position. Kutokana na desturi yake, CCM lazima mgombea wao atakuwa Rais wa sasa, ambaye ni mwanamke, na anatoka Zanzibar.
 
Kanda ya ziwa ipi hiyo,ziwa Tanganyika au ziwa Rukwa,eleweka usaidiwe?,kama unaongelea mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Geita na simiyu,rudia kufanya utafiti wako,umekosea mkuu.

Kanda ya ziwa huwambii kitu kuhusu mama

Acha uongo.
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?

Mama alidhani atawachota watu kijinga.
 
Mama atapita kwa kishindo, garagabaho.

Kwa kishindo Cha Tume. Ila yeye Kama yeye hapati hata asilimia 20. Ndio maana ameanza kampeni mapema na kutishia watu kuchukua fomu
 
Mama Samia ni Rais wa Tanzania na mwenyekiti wa CCM.
Kwa sasa, bado wakati wa kampeni. Kazi inayotakiwa kwa sasa ni kuhakikisha chama kinakubalika ili wakati wa uchaguzi wagombea wake wachaguliwe ambapo mgombea urais yupo ndani.

Mbona CCM wameanza kampeni mapema. Hadi akina majaliwa wanapiga kampeni kwa Sasa.
 
Huyo mama atatumia mbinu zote ila mwisho wa siku ataiba kura tu. Mwaache ajizingushe tu.
 
Hivi Samiah ana nguvu gani kisiasa? Au kisa ni Rais ndio maana unakuwa na Kiburi kuwa hakuna washindana naye kwa kishindo Cha Tume. Ila yeye Kama yeye hapati hata asilimia 20. Ndio maana ameanza kampeni mapema na kutishia watu kuchukua fomu
Tukiwa wakweli SSH akishindana bila tume aliilyoiteua hawezi kuwashinda watu kama Majaliwa, Lissu, Slaa, Mpina, Polepole, Bashiru ally hata Hussein Mwinyi.

Najaribu kufikiria hata sifa moja ya kubwa, ya maana aliyonayo ya kiuongozi, kisiasa, kiushawishi, ujengaji wa hoja, uthubutu, kusimamia utekelezaji, maono kuchagua wasaidizi sahihi, uchapakazi, kusimamia matumizi sahihi ya kodi za Watanzania, seriousness, siioni.
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Kama alimteua Makonda kwa ajili ya watu wa kanda ya ziwa, basi mpelekeeni salaam kwamba waliomshauri walimdanganya. Alichokifanya ni kuweka mafuta ya taa kwenye wali.
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Kipimo gani umetumia?
 
Back
Top Bottom