Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaAchana na kanda ya ziwa, sasa hivi nchi nzima imeuchoka na kukinahi uongozi huu wa awamu ya sita.
Achana na hao unaoona wanapewa hela ya mboga ya siku moja kisha wanagalagala kusifia.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hata dhalimu mwenyewe hakuwa na ushawishi huo huko Kanda ya ziwa, ndio maana aliishia kupora uchaguzi. Isitoshe huyo mama hahitaji kura hata Moja kuwa rais wa nchi hii, ni suala la kuagiza vyombo vya Dola na time ya uchaguzi kumtangaza kwa kura azitakazo. Dhalimu magu ndio aliasisi box la kura kutoheshimiwa.Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.
Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.
Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.
Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.
Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Ingekuwa Kiswahili cha Kenya wangwuliza, "Ati?"Hata dhalimu mwenyewe hakuwa na ushawishi huo huko Kanda ya ziwa, ndio maana aliishia kupora uchaguzi. Isitoshe huyo mama hahitaji kura hata Moja kuwa rais wa nchi hii, ni suala la kuagiza vyombo vya Dola na time ya uchaguzi kumtangaza kwa kura azitakazo. Dhalimu magu ndio aliasisi box la kura kutoheshimiwa.
Usilete chuki zako hapa. JPM alikubalika kila kona ya Tanzania. Hilo la wizi wa kura linategemeaHata dhalimu mwenyewe hakuwa na ushawishi huo huko Kanda ya ziwa, ndio maana aliishia kupora uchaguzi. Isitoshe huyo mama hahitaji kura hata Moja kuwa rais wa nchi hii, ni suala la kuagiza vyombo vya Dola na time ya uchaguzi kumtangaza kwa kura azitakazo. Dhalimu magu ndio aliasisi box la kura kutoheshimiwa.
Umesahau mawasiliano mkuuUngeamka hapo ulipolala usingizi itoke hata nje upate hewa safi .maana naona unaandika kama vile kipofu wa akili na macho. Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan anakubalika sana na mamilioni ya watanzania.anakubalika na kuoneshwa kutoka kila kona ya Taifa letu.hakuna kanda au mkoa ambao Rais Samia hakubaliki.
Kinachokutesa wewe na kukupofusha akili yako ni chuki zako binafsi za kijinga na kishetani.sasa wewe endelea na chuki zako na utaona namna mh Rais wetu anavyozoa na kukomboa kura zote kwa kishindo uchaguzi ujao.
Hakuna mtanzania mwenye kilo timamu anayeweza kumnyima Rais Samia kura ya ndio kwa mambo makubwa aliyotafanya kwa Taifa hili ndni ya muda mfupi.ona saizi wanafunzi wanaenda shuleni kwa raha kabisa bila bughudha baada ya kuwa wamejengewa madarasa ya kutosha na kulipiwa ada yote na Rais Samia.
Angeheshimu uchaguzi, sio kwa uchafu ule wa 2020. Kiongozi anayekubalika hupimwa kwa uchaguzi wa halali, sio hizo propaganda mfu.Usilete chuki zako hapa. JPM alikubalika kila kona ya Tanzania. Hilo la wizi wa kura linategemea
Umesahau 2010 CHADEMA walipata kura nyingi tu ?
Acha kusema uongo. Kanda ya Ziwa Victoria siyo kama unavyofikiria wewe. Mwache mama achape kazi, na kazi iendelee. Kwani hao wawili uliowataja wanawakilisha jamii ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara.Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.
Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.
Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.
Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.
Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Mbona Mchato alijenga uwanja wa ndege wa kimataifa sasa hivi hautumikiUkitaka kupima kama unakubalika na raia afanye kitu kimoja kirahisi tu!
Aruhusu hizi Oline media ama luninga za kimtandao zikusanye maoni kuhusu utendaji kazi wake na mambo ambayo anafanya kama watanganyika wanamuelewa.
Yaani hakuna siku Mzanzibar atakuja kuiacha Zanzibar aje aiendeleze Tanganyika kamwe! Chukua hiyo Mkuu!
Mama atapita kwa kishindo, garagabaho.Kanda ya ziwa ni jadi, kukubali kutawaliwa na mwanamke ni kipengele kikubwa - CCM bila kutumia mbinu za kigaidi kumnadi mama - wasahau.
Chato ipo Zanzibar au Tanganyika!? Kama ipo Tanganyika wala sina shida! Kwa sababu fedha za Tanganyika zinajenga Tanganyika ila Je fedha zipi za Pemba zinajenga Geita!? Au fedha kiasi gani za Forodhani zinajenga Njombe? Ndo maana suluhu ni katiba mpya tu MkuuMbona Mchato alijenga uwanja wa ndege wa kimataifa sasa hivi hautumiki
Haa haa ,sidhani kama kuna wa kushida na samia ,hayupo na hatakuwepoNdio mnavyo mdanganya mkiwa naye huko dodoma
Labda Chato na Sukuma gang.Usilete chuki zako hapa. JPM alikubalika kila kona ya Tanzania. Hilo la wizi wa kura linategemea
Umesahau 2010 CHADEMA walipata kura nyingi tu ?
Sawa kabisa.Angeheshimu uchaguzi, sio kwa uchafu ule wa 2020. Kiongozi anayekubalika hupimwa kwa uchaguzi wa halali, sio hizo propaganda mfu.
Labda wewe uliye kalia umbea nauzushi wako.lakini mamilioni ya watanzania wanampenda sana Rais Samia na wanaendelea kumuunga mkono kwa nguvu zao zote.
Watajibiwa na bundukiUchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary