Panya road ni wa kuchapa risasi bila huruma
Twache unafiki.

Watanzania weng tunaunafiki mwing sana hiv mtoa mada uliwahi shiriki katika kutoa taaifa yoyote ya yule ndugu yako aliyekuwa anavunja nyumba za watu na kuiba nyakati za usiku?

Ila alipokamatwa we si ndo ulienda mwekea dhamana?
 
Kipindi cha IGP Mwema alipambania sana police jamii na ilifanikiwa kwa kiasi chake. Alivyoingia Magufuli aliikataa na akaingia na style ya kuwapora silaha haraka haraka na ikafaulu. Mama anatakiwa achague moja kati ya hizo.
 
Sijawahi kuwa na ndugu wa hivyo. Lakini hoja hapa ni jamii kuwa na mahusiano mazuri na polisi. Nenda mantoni uone jamii zinavyotoa taarifa polisi
Sema we hutoi ila mi n miongon mwa mdau wa polisi na natoa nying maana naelewa umuhimu wa kushirikiana. Tatizo weng tuko na baadhi ya chuki na askari maana tuko na mishe haramu na tunauhalifu nyumban kwetu. Niliwahi saidika sana so siwezi lau kwakweli
 
Sema we hutoi ila mi n miongon mwa mdau wa polisi na natoa nying maana naelewa umuhimu wa kushirikiana. Tatizo weng tuko na baadhi ya chuki na askari maana tuko na mishe haramu na tunauhalifu nyumban kwetu. Niliwahi saidika sana so siwezi lau kwakweli
Una mawazo hasi tu. Kila anayeonesha kutowaamini hao waliokusaidia ni mhalifu? Negativities!
 
Inaonekana wazi kabisa hawapati taarifa za kiintelijensia zilizo sahihi. Maana hawa vijana wanaishi mitaani na ndugu, wazazi na jamaa zao...
Tatizo sio polisi. Tatizo ni wazazi na jamii!
Utakuta mtoto anakataa kusoma, hataki kufanya kazi halali, kutwa kucha ni kubet, na wazazi/walezi wameacha majukumu yao. Na wao pia wako busy kupambana na maisha.

Kunakuwa na mmomonyoko mkubwa wa maadili. Jamii imekata tamaa ktk malezi na kuiachia serikali pekee. Hili ni janga.
Badala ya wasanii kuimba nyimbo za kuhamasisha maadili na utu, wengi wao ni kuimba mapenzi kwa kigezo cha kukidhi matakwa ya mashabiki wao. Kila mmoja atimize wajibu wake. Kama mtu hana uwezo wa kulea aache kuzaa.

Wazazi wa leo wako busy kutafuta maisha. Wanaiachia serikali iwalelee watoto wao. Au hao panya road ni yatima?
 
sasa hao hao raia si ndio wanasumbuliwa na Panya road....na hao raia mwisho wa siku wanakwenda kuomba msaada kwa Polisi....
 
Polisi wana intelejensi yao, kupitia intelejensia yao wanaweza kujua kila kitu na kudeal nacho....hao unaosema raia miongoni mwao ni Polisi na hata polisi wakitaka kuwa na Panya road wao ndani ya panya road wanaweza pia.

Narudia tena, ni kazi ya week moja tu kwa jeshi la polisi kumaliza huo mtandao na kuua vijana wote hao wakiamua labda kama kuna watu maslahi nao..
 
Jukumu la ulinzi wa mtaa ni la Jamii husika sio police. Kodini kampuni binafsi za ulinzi ziwalinde kama mnaogopa tupanya
 
Polisi wana intelejensi yao, kupitia intelejensia yao wanaweza kujua kila kitu na kudeal nacho....hao unaosema raia miongoni mwao ni Polisi na hata polisi wakitaka kuwa na Panya road wao ndani ya panya road wanaweza pia....

Narudia tena, ni kazi ya week moja tu kwa jeshi la polisi kumaliza huo mtandao na kuua vijana wote hao wakiamua labda kama kuna watu maslahi nao..
Ni hadi panya wapore au wabake binti zao ndipo wataweza.
Hulka ya mswahili lisilomgusa sio lake, sababu bado tupo kwenye dark age
 
Wao kazi yao inabakia kuwa nini?
Kuzoa maiti za panya. Maana hata wao mnawapa tabu, police sio kituo cha kutelekezea wahalifu, mkishawapeleka mna wa dump amuendi toa ushahidi.

Hii ni kero pia kwa police maana wakiona hamfatilii nao wanaenda kuwadump magereza kule napo hakimu anaenda waachia sababu hayupo mlalamikaji , then nao urudi kwa kasi upya mtaani kulipiza kisasi. Mtu yeyeto akishakuwa shetani inatakiwa arudishwe kuzimu haraka Ili asilete madhara.
 
Back
Top Bottom