Panya road ni wa kuchapa risasi bila huruma
Mambo yale ya kuteka watu,kubambikia watu kesi, kuua watuhumiwa kwenye mahabusu za Polisi, kuwapora watu pesa zao na kisha kuwaua, polisi kushirikiana na majambazi, polisi na TISS kutumika kama vikundi vya kijambazi vya CCM kuwadhuru wanachama wa vyama vya upinzani au wananchi wanaikosoa CCM au Serikali yake, kumelifanya Jeshi la Polisi na TISS kuonekana kama makundi ya kigaidi (CCM political terrorizing groups) dhidi ya wananchi.

Katika mazingira hayo, vikundi hivi viwili (Polisi na TISS) haviwezi kupata ushirikiano mzuri toka kwa wananchi wema. Ushirikiano mdogo wanaoupata toka kwa wananchi ni kwa sababu hao wananchi kuna wakati wanakuwa hawana namna nyingine, ndiyo huamua kwenda Polisi. Mara ngapi watoaji taarifa polisi dhidi ya majambazi wametolewa uhaina majambazi kwa sababu taarifa walizozitoa polisi, zilipelekwa kwa majambazi?
 
Inaonekana wazi kabisa hawapati taarifa za kiintelijensia zilizo sahihi. Maana hawa vijana wanaishi mitaani na ndugu, wazazi na jamaa zao.

Sasa inakuwa vipi wanashindwa hata kupa taarifa hata kuwa kuna kundi au kijana ni panya road?

Muliro hana uwezo wa kufanya Community policing amefeli kabisa.

Kwa dunia ya leo ni jamii ndio itakupa taarifa kamili juu ya uhalifu au wahalifu.
Ila pia ukumbuke jukumu la ulinzi na usalama wa nchi, mali na raia ni la kila raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwemo wewe.🙏🙏🙏
 
Polisi wana intelejensi yao, kupitia intelejensia yao wanaweza kujua kila kitu na kudeal nacho....hao unaosema raia miongoni mwao ni Polisi na hata polisi wakitaka kuwa na Panya road wao ndani ya panya road wanaweza pia....

Narudia tena, ni kazi ya week moja tu kwa jeshi la polisi kumaliza huo mtandao na kuua vijana wote hao wakiamua labda kama kuna watu maslahi nao..
Nakuunga mkono, kinachoonekana intelijensia yao hufanya kazi zaidi kwenye siasa, sasa tunajeshi gani hili? Au ligeuzwe kuwa jeshi la kisiasa tujue moja, na lilipwe mishahara na wanasiasa kutoka mifukoni mwao na sio kodi zetu. Then liundwe jeshi jipya lenye weledi na lisilojiingiza kwenye siasa. Kwa jeshi linaloifahamu kazi yake vyema hao panya wangeshafutwa mtaani siku nyingi.
 
Unajua majukumu ya police.Police ni kiraka anafanya Kazi zote,Kazi ya police ni kushughulika na aina zote za uhalifu.
Mbona uliwanyang'anya ya ulinzi wa raia na mali zao pale mwanzo!Au umesahau tulianzia wapi mkuu?
 
Inaonekana wazi kabisa hawapati taarifa za kiintelijensia zilizo sahihi. Maana hawa vijana wanaishi mitaani na ndugu, wazazi na jamaa zao.

Sasa inakuwa vipi wanashindwa hata kupa taarifa hata kuwa kuna kundi au kijana ni panya road?

Muliro hana uwezo wa kufanya Community policing amefeli kabisa.

Kwa dunia ya leo ni jamii ndio itakupa taarifa kamili juu ya uhalifu au wahalifu.
Kama jamii inashindwa kutoa taarifa kwa polisi maana yake kwao hilo sio tatizo wanalohitaji litoke... kabla ya kuwarushia polisi lawama kwa nini usianze na waathirika...
 
Watapata lini? Baada ya wewe kuporwa na kukatwa mapanga?
Swali lako la kijinga sana..Tukio limeshatokea, sasa unadhani watakamatwa kabla ya hilo tukio..Sikuandika kwa sababu eti naukubali sana utendaji wa Polisi ila najua uwezo wa kuwajua wahalifu hao wanao.
 
Una mawazo hasi tu. Kila anayeonesha kutowaamini hao waliokusaidia ni mhalifu? Negativities!
Anawaamini policcm? Aende akaziulize familia za wachimba madin wa mahenge,hamza,erasto msuya na huyu aliechomwa sindano ya limao huko kusin! Ni mjulishe tu mtoa post kuwa polisi ni wahalifu mara 10 ya panya road! Ogopa mtu akukamate, akupore mali zako halafu akuue! Panya road ye ni nondo moja au salala achukue kinachomhusu apite hivi
 
Anawaamini policcm? Aende akaziulize familia za wachimba madin wa mahenge,hamza,erasto msuya na huyu aliechomwa sindano ya limao huko kusin! Ni mjulishe tu mtoa post kuwa polisi ni wahalifu mara 10 ya panya road! Ogopa mtu akukamate, akupore mali zako halafu akuue! Panya road ye ni nondo moja au salala achukue kinachomhusu apite hivi
Tell him,broda!Asisahau kupita kwa mama Akwilina!Dawa ni kutiana uchungu ili akili zitusogee.
 
Unafiki siku zote unatufundisha nyuma Sana Panya road tokea WAMEANZA oparesheni zao Polisi wametangaza IDADI ya HAO Panya waliokamatwa na Mali zilizoibiwa kuokolewa Pia usiku KUMEFANYIKA misako kabambe bado tu Kuna mtu ameshiba maharage anapromote ujinga!

HAO Manjagu wafanye nini ili kuwafurahisha? Unatoaje takwimu za nchi NZIMA kuhusiana na wananchi kushirikiana na Polisi wakati hata Polisi mwenyewe hujawahi kufika? Unawachukia kwasababu walimkamata NDUGU yako kutokana na kosa lake la jinai alilotenda!

Hata Mimi kunabaadhi ya Polisi siwapendi hasa wanaomba Rushwa wanaoonea Raia wema na wasiotekeleza wajibu wao lakini siyo jeshi zima na katika hili la Panya road tulio karibu tumeshuhudia JITIHADA kubwa zilizofanyika hakuna tunachowadai.
 
Unafiki siku zote unatufundisha nyuma Sana Panya road tokea WAMEANZA oparesheni zao Polisi wametangaza IDADI ya HAO Panya waliokamatwa na Mali zilizoibiwa kuokolewa Pia usiku KUMEFANYIKA misako kabambe bado tu Kuna mtu ameshiba maharage anapromote ujinga!

HAO Manjagu wafanye nini ili kuwafurahisha? Unatoaje takwimu za nchi NZIMA kuhusiana na wananchi kushirikiana na Polisi wakati hata Polisi mwenyewe hujawahi kufika? Unawachukia kwasababu walimkamata NDUGU yako kutokana na kosa lake la jinai alilotenda!

Hata Mimi kunabaadhi ya Polisi siwapendi hasa wanaomba Rushwa wanaoonea Raia wema na wasiotekeleza wajibu wao lakini siyo jeshi zima na katika hili la Panya road tulio karibu tumeshuhudia JITIHADA kubwa zilizofanyika hakuna tunachowadai.
Umeuma kidogo,umepuliza kidogo.Mungu akubariki sana.
 
Back
Top Bottom