kitonger
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 1,164
- 1,533
Imetokea wapi mkuu?Nawapa pole wanawake wote wa Dar na nawaombea wawe salama kutokana na wimbi la panyaroad.
Upande wa wanaume nawaombea pia lolote liwakute.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imetokea wapi mkuu?Nawapa pole wanawake wote wa Dar na nawaombea wawe salama kutokana na wimbi la panyaroad.
Upande wa wanaume nawaombea pia lolote liwakute.
Polisi wameondolewa barabarani sasa kwanini wasiwekwe mitaani.Ifikie wakati polisi watimize jukumu lao la msingi la kulinda raia na mali zao. Na kama wameshindwa, basi watoe uhuru ili kila mtu ajilinde kwa nguvu zake mwenyewe.
Huko Dar mnakojifanyaga mko busy na kusaka pesa msipoweka ulinzi shirikishi wa sungusungu mtakatwa mapanga daily maana Polisi hawawezi kuwepo kila sehemu..Nawapa pole wanawake wote wa Dar na nawaombea wawe salama kutokana na wimbi la panyaroad.
Upande wa wanaume nawaombea pia lolote liwakute.
Polisi wanajua kuwaumiza Chadema, basiKundi la Vijana wanaojihusisha na Uhalifu Maarufu kama 'Panya road' wamevamia nyumba moja Kawe mtaa wa Mzimuni usiku wa kuamkia leo Septemba 14, 2022 na kujeruhi watu watano na Kumsababishia kifo Binti aliyetambulishwa kama Maria paschal Basso mwenye umri wa miaka 24.
Eneo la tukio na pameonekana uharibifu walioufanya kwenye nyumba ikiwemo kuvunja milango na kufanikiwa kuingia ndani, na kuwapora simu na fedha na kuharibu vitu mbali mbali ikiwemo TV.
Pia baadhi ya Mashuhuda wa tukio hilo pamoja na Mwenyekiti wa Mtaa huo ambao wameeleza kuwa tukio hilo lilifanyika usiku wa saa 8 na vijana wanaokadiriwa kufikia 30 waliokuwa na silaha mbalimbali yakiwemo mapanga.
Wahalifu hao waliwapiga na kuwajeruhi watu wanne ambapo wawili walikuwa mahututi na kati yao mmoja amefariki huku wengine wakipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.
Polisi wameondolewa barabarani sasa kwanini wasiwekwe mitaani.
Kipindi cha Nyerere tulikuwa na usemi Kila raia ni Askari lakini kimekuja hiki kizazi cha chips mayai imekuwa tabu tupu vitoto vitano vikiwa na mapanga na bisibisi vinaweza kufunga mtaa wote mkajinyeanyea humo ndani hata wa kumsaidia mwenzie asiwepoSerikali pamoja na kukusanya tozo nyingi Kwa raia bado inashindwa kutulinda na panya road.
Tozo Zetu mnaiba basi mtulinde na panya road.
Nipo hapa nauguza majeraha ya Jana.
Utamiamataje panya road wakati hao raia wanawaogopa?Siwaseme tu ukikamata panya road muue tu
Ni Huzuni Kwa kweli . Na hapo tunachangishwa pesa za ulinzi Kila mweziAisee inasikitisha kwa kweli
Daah. Huwa wengi sana .Siwaseme tu ukikamata panya road muue tu