Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Wacha ujinga. Watu zaidi ya 40 Wenye mapanga unazani Rahisi hivyo.Kipindi cha Nyerere tulikuwa na usemi Kila raia ni Askari lakini kimekuja hiki kizazi cha chips mayai imekuwa tabu tupu vitoto vitano vikiwa na mapanga na bisibisi vinaweza kufunga mtaa wote mkajinyeanyea humo ndani hata wa kumsaidia mwenzie asiwepo
Pole mkuu ndio ukubwa kama nyinyi wenyewe majilani mnashindwa kusaidiana polisi tutawalaumu bule
Rais anasema eti Magereza waache kuwalimisha wafungwa,hapa Bongo bila kuwa na roho ngumu na kuwanyoosha watu hutoboi.Serikali pamoja na kukusanya tozo nyingi Kwa raia bado inashindwa kutulinda na panya road.
Tozo Zetu mnaiba basi mtulinde na panya road.
Nipo hapa nauguza majeraha ya Jana.
Wazungu wametumia panya road miaka yote(wezi kwa njia za uchochoroni, rushwa, udhalimu, uhasama, na mpaka uuaji wa kikatili).Kundi la Vijana wanaojihusisha na Uhalifu Maarufu kama 'Panya road' wamevamia nyumba moja Kawe mtaa wa Mzimuni usiku wa kuamkia leo Septemba 14, 2022 na kujeruhi watu watano na Kumsababishia kifo Binti aliyetambulishwa kama Maria paschal Basso mwenye umri wa miaka 24.
Eneo la tukio na pameonekana uharibifu walioufanya kwenye nyumba ikiwemo kuvunja milango na kufanikiwa kuingia ndani, na kuwapora simu na fedha na kuharibu vitu mbali mbali ikiwemo TV.
Pia baadhi ya Mashuhuda wa tukio hilo pamoja na Mwenyekiti wa Mtaa huo ambao wameeleza kuwa tukio hilo lilifanyika usiku wa saa 8 na vijana wanaokadiriwa kufikia 30 waliokuwa na silaha mbalimbali yakiwemo mapanga.
Wahalifu hao waliwapiga na kuwajeruhi watu wanne ambapo wawili walikuwa mahututi na kati yao mmoja amefariki huku wengine wakipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.
Mnalisababisha nyinyi CCM kwa kutotenda haki.Kwa yaliyotokea Kawe na Temeke hatuna namna zaidi ya kumuombea Mungu wa mbinguni atupe ulinzi wake
Bwana usikie kuomba kwetu!
Watu wenyewe ni hawa akina masauni,Mwigulu , january... hapa ni mwanzo tu, wameshajua kuwa sasa hawawezekani, watatenda mauaji makubwa some times to come soon!Serikali pamoja na kukusanya tozo nyingi Kwa raia bado inashindwa kutulinda na panya road.
Tozo Zetu mnaiba basi mtulinde na panya road.
Nipo hapa nauguza majeraha ya Jana.
Ukitekwa na hao panyaroad,hupangiwi namna ya kuwafanya,kama mbavyo wao hawapangiwi namna ya kukufanya.Siwaseme tu ukikamata panya road muue tu
Upuuzi huuKwa yaliyotokea Kawe na Temeke hatuna namna zaidi ya kumuombea Mungu wa mbinguni atupe ulinzi wake
Bwana usikie kuomba kwetu!
Kwa yaliyotokea Kawe na Temeke hatuna namna zaidi ya kumuombea Mungu wa mbinguni atupe ulinzi wake
Bwana usikie kuomba kwetu!
Kumetokea nini?Kwa yaliyotokea Kawe na Temeke
Picha na video mkuu story haijakamilikaHao washenzi ni kupiga pipe tu.. Wakijichanganya
Picha na video ya story gani mazee 🙄🙄Picha na video mkuu story haijakamilika