Nawapa pole wanawake wote wa Dar na nawaombea wawe salama kutokana na wimbi la panyaroad.

Upande wa wanaume nawaombea pia lolote liwakute.
Imetokea wapi mkuu?
 
Nawapa pole wanawake wote wa Dar na nawaombea wawe salama kutokana na wimbi la panyaroad.

Upande wa wanaume nawaombea pia lolote liwakute.
Huko Dar mnakojifanyaga mko busy na kusaka pesa msipoweka ulinzi shirikishi wa sungusungu mtakatwa mapanga daily maana Polisi hawawezi kuwepo kila sehemu..

Cha ajabu eti kuna ulinzi shirikishi,hapo Serikali inatakiwa iwaruhusu vikundi vya ulinzi kufanya doria rasmi usiku vinginevyo hakuna suluhisho..

Maana Hata ukifanya oparesheni za kuna siku wataibuka tena..
 
Polisi wanajua kuwaumiza Chadema, basi
 
Hivi wakati wanavunja milango huwa haitoi kelele? tujitahidi kuwa na namba za majirani pamoja na viongozi wa mitaa
 
Polisi sasa wafanye majukumu yao ya msingi ya kulinda wananchi dhidi ya vitendo hivi vya kihalifu, haya mambo yakiachwa yaendelee huko mbeleni mitaa itakuwa haikaliki......uhalifu wa kudhuru watu na kupora itakuwa ni sehemu ya maisha.
 
Serikali pamoja na kukusanya tozo nyingi Kwa raia bado inashindwa kutulinda na panya road.

Tozo Zetu mnaiba basi mtulinde na panya road.

Nipo hapa nauguza majeraha ya Jana.
Kipindi cha Nyerere tulikuwa na usemi Kila raia ni Askari lakini kimekuja hiki kizazi cha chips mayai imekuwa tabu tupu vitoto vitano vikiwa na mapanga na bisibisi vinaweza kufunga mtaa wote mkajinyeanyea humo ndani hata wa kumsaidia mwenzie asiwepo

Pole mkuu ndio ukubwa kama nyinyi wenyewe majilani mnashindwa kusaidiana polisi tutawalaumu bule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…