Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vatican watabadili kitabu na kuweka Aya iyo ..hamna kitu mtafanya

Vijana wa paulo itakuwa ni halali kupitiwa na makanisa yatakuwa huru kufungisha ndoa izo[emoji23][emoji23][emoji23]
Kanisa katoliki kwa hapa Afrika litapoteza waumini wengi sana mimi nikiwa mmoja wao.
 
Nimekuelewa ndugu, What do you think we can do?

choose your side brother

huu ni ule wakati wa Joshua

Joshua 24:15 But if serving the Lord seems undesirable to you, then choose for yourselves this day whom you will serve, whether the gods your ancestors served beyond the Euphrates, or the gods of the Amorites, in whose land you are living. But as for me and my household, we will serve the Lord.”
 
Nilihisi tupo twitter, bado kidogo nili retweet hii comment.
 
Haya yote uliyo yaandika, majibu yake watu tushajibia sana tena kwa ufafanuzi zaidi, ila mnaamua kuziba masikio, na uzuri wake sasa hamuwezi kubadili chochote, mnaishia kulia kwenye keyboard na mioyoni mwenu.

Ushoga ni ruksa na halali, very soon. Mtafurahishwaaaaaaaaa
 
Wapeeeeee wapeeeeeeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dj waleteeeeeeeeeeeee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua kuwaumiza, unapiga kwenye mshonoooo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua kuwaumiza, unapiga kwenye mshonoooo.
Upuuzi tu..kama wanapinga inshu za LGBTQ community kesho j3 wafanye maandamano na wabebe mabango kuelekea ofisi za serikali tuwaone kweli kama wako serious na hili suala.

U keyboard worrier ni kujipotezea muda tu humu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Babeeeeee hapa leo nakupa ile kitu unapendaaa ujilie had uchoke wee, umejua kunikoshaaaa, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
ukisoma hoja za hao watu na ww , utagundua wanaopinga hawana hoja mbali na mihemko tu
Wengi wao wanaopinga ni maskini wa kutupwa na wamejawa na stress, wanatafuta Pa kupumzikia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushoga TZ umeshamiri kwa kasi kubwa, sababu ni siri, ikiwekwa wazi watu hawataamini lol.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
huo ndo ukweli, ila ni vizuri kukumbuka kuwa

The darkest hour is always before dawn​


werevu watangamua!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwishaaaaaa
 
Upuuzi tu..kama wanapinga inshu za LGBTQ community kesho j3 wafanye maandamano na wabebe mabango kuelekea ofisi za serikali tuwaone kweli kama wako serious na hili suala.

U keyboard worrier ni kujipotezea muda tu humu.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…