Ukweli wowote katika ujinga ni ujinga tu, so hapa umeandika ujingaHata mie nn?? Naandika ukweli I don't t care unaumiza au laaah, ila ukweli nauweka wazi.
Huyu ndio wale watetezi wa haki za machoko
Hayo ma G7 na G20 mengi yao ndio yanafadhili haya mamboCha ajabu, hata viongozi wetu wanapata kigugumizi kusema msimamo wa taifa letu!wanahofia misaada itakosekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebuuu tulia kwanzaaaaa, mbna ghafla sanaaaaa?Hiyo oagraph ya pili inayoongelea dini ya kweli umeielewa vp? Unaona mashoga hata kuelewa minor thing tu ni tatizo.
Je nafsi yako unaona inakushuhudia kupandwa na mwanaume mwenzio au kusagana ?
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
mkuu hawa jamaa wako kila mahali
hii ligi pendwa ya EPL watu wengi wanaiangalia lakini imejaa huo uchoko
tukianza kuikataa hio tutakuwa tumepiga hatua
hio bendera ya upinde wa mvua ndio alama ya hawa watu,
unapoiona popote ujue jamaa wapo tele!!
View attachment 2414460View attachment 2414461View attachment 2414462View attachment 2414463View attachment 2414464View attachment 2414465
Mnahangaika sana na Ukatoliki.Kimsingi misingi mikubwa ya Imani na ustaarabu inasimamiwa na kanisa Katoliki.Nyie mnajaribu kudanganya watu ili mpate kuwin watu wasiojielewa
Acha ukorofi dogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebuuu tulia kwanzaaaaa, mbna ghafla sanaaaaa?
Ktk kitu ambacho nimebarikiwa, bas n akili, ufahamu, uelewa na uchanganuzi wa mambo kwa uyakinifu.
Huko kwenye Dini huna cha kuniambia, tena ukae kimyaaa,
Hebu lia ndani ya JF ukichoka log out ukafute chozi mtaan na uone uhalisia wa hicho unacho kinenea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwakwepa huku unawakuta kwenye movie zao! Yaani kuna wakati nawakubali Sana Russia na North Korea kwa kupinga Ushogamkuu hawa jamaa wako kila mahali
hii ligi pendwa ya EPL watu wengi wanaiangalia lakini imejaa huo uchoko
tukianza kuikataa hio tutakuwa tumepiga hatua
hio bendera ya upinde wa mvua ndio alama ya hawa watu,
unapoiona popote ujue jamaa wapo tele!!
View attachment 2414460View attachment 2414461View attachment 2414462View attachment 2414463View attachment 2414464View attachment 2414465
I don't care km ni ujinga, na uzuri wake hamuwezi kubadilisha chochoteeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli wowote katika ujinga ni ujinga tu, so hapa umeandika ujinga
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Ukiwakwepa huku unawakuta kwenye movie zao! Yaani kuna wakati nawakubali Sana Russia na North Korea kwa kupinga Ushoga
Huu upuuzi sijui utaisha lini kwahiyo wakiruhusu ushoga nawewe utaukubali kwakuwa VATICAN SAYS SO?Mnahangaika sana na Ukatoliki.Kimsingi misingi mikubwa ya Imani na ustaarabu inasimamiwa na kanisa Katoliki.Nyie mnajaribu kudanganya watu ili mpate kuwin watu wasiojielewa
Mbona tz inauga mkono hayo mambo kitambo..sema viongozi wetu unafiki mwingi..kumbuka barua iliyotolewa kipindi makonda akipambana na mashoga akatulia tuli..serikali yenyewe ilimkana ikasema huo ni msimamo wake wala sio msimamo wa serikali.Muda sio mrefu hii kitu itakuwa sheria kwenye kusaidiwa, huungi mkono kutinduana, hupati hela za maendeleo wala za afya, kama naiona Tanzania tunavyopenda misaada, tuhimize viongozi wetu tuache kuzungusha mabakuli.
watoe mashehe kwenye ujinga wenu mnao jadiliana makanisani shenzi!Serikali zote duniani under USA democracy influence zinatakuwa kutambua na kuwalinda jamaa wa upinde kwa namna yoyote ile, na kinachokuja kutoka hivi karibuni haya madhehebu yatakua yanarenew vile vibali vyao, na sharti mojawapo la kupewa kile kibali ni kuukubali ushoga ndani ya jumuiya zao, sasa je kuna wachungaji/mapdre/mashekhe n.k wenye ujasiri wa kukata hizo mambo ili wakose sadaka na zaka, huku wakipewa back up ya fedha nyingi katika kuwasupport upunga?
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Viongozi wetu ni corrupt,Mbona tz inauga mkono hayo mambo kitambo..sema viongozi wetu unafiki mwingi..kumbuka barua iliyotolewa kipindi makonda akipambana na mashoga akatulia tuli..serikali yenyewe ilimkana ikasema huo ni msimamo wake wala sio msimamo wa serikali.
Ukishakubali kutia saini mikataba ya haki za binadamu jua vipengele ya hao LGBTQ viko ndani yake.
Nakwa nchi zetu njaa hizi za viongozi watembeza bakuri hawana kauli wao ni ndio mzee ilimaradi wapewe chochote kitu.
#MaendeleoHayanaChama
Nitasikitika ila nitakubali hali hakuna jinsi.Vipi mwanao wa kiume uliyebeba mimba miezi 9 unategemea akuletee wajukuu ukakuta ninampumulia utajisikiaje
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Hapana hawapendi na hawakupenda kuwa hivyo. Hutanielewa mpaka uongee nao. Nilikaa na majirani NY mashoga nilijaribu kuongea nao na niliwaelewa kuwa hawajawahi kusikia hamu ya kuwa na mwanamme ila wana watoto ambao mmojawao alikubali kubeba mimba with artificial insemination mara mbili.Kwahiyo wangependa na hao watoto waliowaadopt wawe mashoga?H
Ungekua kweli una mahusiano mazuri na Mungu wako na umepata elimu ya dini usingetoa hoja za kishoga ambazo dini zinapinga na sio utaratibu tu wa zile African religion[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebuuu tulia kwanzaaaaa, mbna ghafla sanaaaaa?
Ktk kitu ambacho nimebarikiwa, bas n akili, ufahamu, uelewa na uchanganuzi wa mambo kwa uyakinifu.
Huko kwenye Dini huna cha kuniambia, tena ukae kimyaaa,
Hebu lia ndani ya JF ukichoka log out ukafute chozi mtaan na uone uhalisia wa hicho unacho kinenea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dyadyaaaaaaa nipo na hawa watu wanaohemkwa na kupovukwa mitandaoni, afu hawawezi kubadili chochote na uzuri wake sasa wanajua kila kitu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha ukorofi dogo
Vipi wewe binafsi msimamo wako kuhusu masuala haya?Nitasikitika ila nitakubali hali hakuna jinsi.
Hapana hawapendi na hawakupenda kuwa hivyo. Hutanielewa mpaka uongee nao. Nilikaa na majirani NY mashoga nilijaribu kuongea nao na niliwaelewa kuwa hawajawahi kusikia hamu ya kuwa na mwanamme ila wana watoto ambao mmojawao alikubali kubeba mimba with artificial insemination mara mbili.