Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Wapasulieeeeeeee ukweliiiiiiii babaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wapeeeeeeee wapeeeeeeeee.
 
Hapana sijaona ila nimesikia kuna wanyama wanafanya hivyo. Tusihukumu bure. Baba mtakatifu amefanya utafiti na kuona afanye mawasiliaono na wenzie ma jesuist.
 
Mama/bibi unapotezaaa nguvu buree kuwaelezaaa, hawakuelewi kamweee, achana nao.
 

Jinsi ipo.

Ni basi tu kushupaza shingo.

Wengi wa hawa watu wana psychological reasons za kuwa hivyo:

1. kulelewa na mzazi mmoja hasa kama baba hayupo au kama yupo basi ni baba legelege, kudekeza watoto inaumiza jamii
2. kuhujmiwa kijinsia mfano wa kiume wengi huweza kuwa wamelawitiwa walipokua wadogo, wakike wanaeza kuwa walibakwa
3. mateso makali kutoka kwa wazazi
4. watoto wa mtaani
5. watoto wa kishua walioanza kuangalia pornography toka wadogo wakakubuhu na kulewa uasherati (ndo maana huezi kukuta mmatumbi au mmasai wa ngorongoro anafanya haya mambo!!!!)

shule ya bweni haya mambo tumeyaona
wote waliokuwa wakishiriki walikua watoto wa kishua

watu wa kijijini walikua yanapiga kitabu na kuruka ukuta kuleta viepe!!

6. kuiga fashion kutoka ulaya
7. ni swala la kiroho pia

ukibisha its at your own loss!
 
Ile paragraph yako ya pili ilimaliza kila kitu, sasa sioni haja ya mie kuanza kuchimbua kitu ambacho kipo wazi na unakijua.

Au uliandika pasipo kukusudia au uliandika ukiwa hujui nn unaandika? Unashangazaaaaaa.
 
Hapana sijaona ila nimesikia kuna wanyama wanafanya hivyo. Tusihukumu bure. Baba mtakatifu amefanya utafiti na kuona afanye mawasiliaono na wenzie ma jesuist.
Anakuwa mtakatifu hata akiwatetea mashoga!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Vatican watabadili kitabu na kuweka Aya iyo ..hamna kitu mtafanya

Vijana wa paulo itakuwa ni halali kupitiwa na makanisa yatakuwa huru kufungisha ndoa izoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
kilasiku nasema wakristo nimakafiri. ona Sasa mambo wanayo jadili aibu kabisa.
 
Wengine wametokana na nje ya sababu hizo, japo hizo sababu ni commons.
 
Hawawezi kupata hamu ya kuwa na mwanaume kwa sababu mwanaume ni binadamu (damu na nyama) atadindisha after sometime machine itakata moto tena yawezekana mwanamke hajafika kileleni ili ainjoi, so huwezi kulinganisha na watu wanaotumia vidole ambavyo havichoki kudinda, yaani by default kidole kimedinda forever, na saizi mnatumia mimashine inayotumia betei/umeme hii haziwezi choka, kwa sababu hizo mwanamke wa hivyo hawezi enjoi kuwa na mwanaume.

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Unajua wanajua kabisa haimpendezi Mungu na bado wanafanya!
 
πŸ˜„πŸ˜ƒ hii dunia sahivi watu tunalia na vingi ambavyo hatuna control navyo

Njoo pm usalimie πŸ€ͺ
 
Wapasulieeeeeeee ukweliiiiiiii babaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wapeeeeeeee wapeeeeeeeee.
Ndio ukweli na hakuna pimbi yoyote atakaye gusa ma shoga akabaki salama..hao jama wanalindwa na nchi..vinginevyo viongozi wa nchi hii vitivyao vitapata moto.

Hapa tunachangamsha genge tu...pimbi yoyote anayejiamini na kujifanya kitukuu cha mtume au nabii fulani aende ajitokeze kukemea na kupambana na hao LGBTQ uone kama haja nyea ndoo maisha yake yote.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…