Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Kwani wapagani na wasiomuamini Mungu wanapohubiriwa ili wamwamini Mungu hawaruhusiwi kuuliza maswali yanayomuhusu Mungu?
Rafiki hawa watu wa dini hawataki maswali kwasababu hawana majibu. Lkn kutwa kuhubiri tumfate yesu
 
Kwa hiyo watu waf---ln tu
Huyu papa mbona anazingua
Wao Vatican wangeweka sheria iruhusu mapadre na maskofu waoe waweze kujamiana na wanawake
Maana kukaa Bila kufanya tendo la ndoa mtu unadata

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuwa padre ni mtu binafsi anachagua hayo maisha. Kabla hujaingia tayari unaelewa kuwa sitaruhusiwa kuoa ..hakuna anayelazimishwa kuwa padre na hakuna anae katazwa kuacha upadri endapo atashindwa
Ukitaka kuoa unaacha upadre wa kanisa katoliki unaenda uchungaji KKKT, Mungu si ni yule yule?
 
'Homosexual people are children of God and that they have the right to be in a family..
Shida ipo kwenye tafsiri ya iyo sentensi hapo juu,Inawezekana alichokimaanisha wala sio hicho mlichomaanisha nyie.
Any way ngoja nitafute video niskilize hotuba yake yote...
 
Kwahiyo mnataka mashoga wapelekwe wapi?
Hahahahhaaaa

Wanataka papa aseme mashoga wauwawe.

Kama kweli wanawachukia mashoga tungeona wanawaua hadharani bila hata kusubiri kauli ya papa. (halafu tuone kama watabaki salama).

Ni unafiki tu unatusumbua.

Afterall, kwani mashoga wameletwa na papa?

Mashoga wawafuge wao majumbani mwao, halafu lawama atupiwe papa.

Ironical.
 
Hahahahhaaaa

Wanataka papa aseme mashoga wauwawe.

Kama kweli wanawachukia mashoga tungeona wanawaua hadharani bila hata kusubiri kauli ya papa. (halafu tuone kama watabaki salama).

Ni unafiki tu unatusumbua.

Afterall, kwani mashoga wameletwa na papa?

Mashoga wawafuge wao majumbani mwao, halafu lawama atupiwe papa.

Ironical.
Mashoga wameletwa na Mungu. Ni watoto wa Mungu [emoji419][emoji419]
 
Hapana...

Mwanamke hana haki sawa na mwanaume....na mtoto hana haki sawa na wazazi wake...

Au unazungumzia haki ipi?
Tofauti ya haki za mwanamke na mwanaume ni zipi? Tuelimishe
 
Mashoga wameletwa na Mungu. Ni watoto wa Mungu [emoji419][emoji419]
Hahahahahaaaaaaaaa

Kuna jamaa mmoja hapo juu anasema kama Mungu anawachukia mashoga kwanini amewaacha hataki kuwaangamiza!

It makes sense to me as well.

Mungu awaangamize basi hao mashoga kama kweli anawachukia kwa dhati.

Akishindwa kuwaangamiza tuhitimishe kwamba aidha anawapenda au hana uwezo wa kuwaangamiza.

Na kama hana uwezo wa kuwaangamiza, basi biblia nzima imejaa maneno ya ulaghai na udanganyifu.

Tuliaminishwa mungu ni muweza wa yote, lakini kumbe hawezi kitu.

If the latter is not true, then God loves homosexuals.

Tuchagua moja kati ya hayo!

Ama mungu ni dhaifu, ama anawapenda mashoga.
 
Hahahahahaaaaaaaaa

Kuna jamaa mmoja hapo juu anasema kama Mungu anawachukia mashoga kwanini amewaacha hataki kuwaangamiza!

It makes sense to me as well.

Mungu awaangamize basi hao mashoga kama kweli anawachukia kwa dhati.

Akishindwa kuwaangamiza tuhitimishe kwamba aidha anawapenda au hana uwezo wa kuwaangamiza.

Na kama hana uwezo wa kuwaangamiza, basi biblia nzima imejaa maneno ya ulaghai na udanganyifu.

Tuliaminishwa mungu ni muweza wa yote, lakini kumbe hawezi kitu.

If the latter is not true, then God loves homosexuals.

Tuchagua moja kati ya hayo!

Ama ni dhaifu, ama anawapenda mashoga.
Mungu si dhaifu ila watu wanamvika sifa na tabia ambazo ni za uongo.
Kama aliwaumba watu wote kwa upendo basi hachukii mashoga na kama angechukia angetokomeza ushoga usiwepo.
Mashoga ni ndugu zetu kama ambavyo wazinzi mabaharia, makahaba , majambazi walivyo ndugu zetu na hatujawahi kuwatenga.
 
Haya ndio matatizo ya kudandia dini za watu na kutupilia mbali Mila na desturi zetu.
 
Mungu si dhaifu ila watu wanamvika sifa na tabia ambazo ni za uongo.
Kama aliwaumba watu wote kwa upendo basi hachukii mashoga na kama angechukia angetokomeza ushoga usiwepo.
Mashoga ni ndugu zetu kama ambavyo wazinzi mabaharia, makahaba , majambazi walivyo ndugu zetu na hatujawahi kuwatenga.
Ni kweli, japo sikubaliani na wewe hapo kwenye majambazi.

Sikubaliani na wewe si katika muktadha wa kibiblia, lakini katika muktadha wa maadili ya kawaida kabisa.

Ujambazi una athari za kumpoka na kumdhuru mtu wa pili. Ujambazi hauna ridhaa dhidi ya mtu wa pili.

Ushoga haumdhuru mtu wa pili wala kupoka haki yake. Ni tendo lenye ridhaa.

Mengine uko sawa. Hasa hapo kwenye wazinzi.
 
Ni kweli, japo sikubaliani na wewe hapo kwenye majambazi.

Sikubaliani na wewe si katika muktadha wa kibiblia, lakini katika muktadha wa maadili ya kawaida kabisa.

Ujambazi una athari za kumpoka na kumdhuru mtu wa pili. Ujambazi hauna ridhaa dhidi ya mtu wa pili.

Ushoga haumdhuru mtu wa pili wala kupoka haki yake. Ni tendo lenye ridhaa.

Mengine uko sawa. Hasa hapo kwenye wazinzi.
Inawezekana upo sahihi lkn madhara yanayoletwa na uzinzi yapo mengi pia.
Naelewa ujambazi ulivyo nimeorodhesha hapo ili kuonyesha kuwa kama ushoga ni dhambi basi ujambazi pia ni dhambi. Hakuna tofauti
 
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.

Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga kukubalika, na kusomeka kwenye hichi kitabu kitakatifu kuwa sodom na gomorrah kuchomwa moto.

Je, ndiyo mwanzo wa kanisa katoliki kuvunjika au imani zao ndiyo zitazidi?
Karibuni.

===
Papa Francis ameviunga mkono vikundi vya harakati vinavyotetea ndoa za jinsia moja akiwa Mjini Roma wakati wa Maazimisho ya uzinduzi wa filamu iliyoitwa Fransisco.

Aidha, katika kuelezea jambo hili Papa Fransis amesema "Mashoga (Wapenzi wa jinsia Moja) wana haki ya kuwa katika familia. Wao ni watoto wa Mungu. Hakuna mtu anayepaswa kuwabagua au kufadhaishwa juu yao. "

Aliongeza kuwa wakati alipokuwa Askofu Mkuu wa Buenos Aires alipinga sheria ya kuidhinisha ndoa za jinsia moja lakini aliunga mkono aina fulani ya ulinzi wa kisheria kwa haki za wenzi wa jinsia moja.

Zaidi Soma:
Pope Francis has endorsed same-sex civil unions, saying in a documentary that homosexual people are 'children of God' and that they 'have the right to be in a family'.

His approval came midway through a feature-length film, titled Francesco, which had its premiere at the Rome Film Festival earlier today.

The film delves into issues Francis cares about most, including the environment, poverty, migration, racial and income inequality, and the people most affected by discrimination.

'Homosexual people have the right to be in a family. They are children of God. Nobody should be thrown out or be made miserable over it,' the 83-year-old said in one of his sit-down interviews for the film.

'What we have to have is a civil union law; that way they are legally covered.'

He added that he 'stood up for that' in an apparent reference to his time as archbishop of Buenos Aires when he opposed legislation to approve same sex marriages but supported some kind of legal protection for the rights of gay couples.

The Pope's remarks will come as a shock to millions of Roman Catholics who have long followed the doctrine that gay relationships are sinful and accepted the Church's stand against the worldwide advance of gay rights.

source: MailOnline
Antichrist huyoo
 
Inawezekana upo sahihi lkn madhara yanayoletwa na uzinzi yapo mengi pia.
Naelewa ujambazi ulivyo nimeorodhesha hapo ili kuonyesha kuwa kama ushoga ni dhambi basi ujambazi pia ni dhambi. Hakuna tofauti
Halafu kwanini linapokuja swala la ushoga, kila mtu anakumbuka mistari yote ya biblia?

Hivi uzinzi haujakatazwa kwenye biblia? Naamini umekatazwa, na adhabu yake ni kifo.

Tuna jamii ya watu wanafiki ambao wana uwezo wa kutumia biblia kueneza chuki na kujikweza kuliko wengine.

Ninachokiona hapa ni ubinafsi tu.

Nani leo anaweza kukuelewa ukimwambia kwamba wazinzi wanastahili adhabu ya kifo kwa mujibu wa biblia?

Lakini kwenye ushoga aaaaahhh...kila mtu anageuka kuwa mwanateolojia!

Watakupa stori zote za sodoma na gomora huku wakinukuu vifungu uchwara kana kwamba walishawahi kufika kwenye hiyo nchi ya kusadikika!
 
Halafu kwanini linapokuja swala la ushoga, kila mtu anakumbuka mistari yote ya biblia?

Hivi uzinzi haujakatazwa kwenye biblia? Naamini umekatazwa, na adhabu yake ni kifo.

Tuna jamii ya watu wanafiki ambao wana uwezo wa kutumia biblia kueneza chuki na kujikweza kuliko wengine.

Ninachokiona hapa ni ubinafsi tu.

Nani leo anaweza kukuelewa ukimwambia kwamba wazinzi wanastahili adhabu ya kifo kwa mujibu wa biblia?

Lakini kwenye ushoga aaaaahhh...kila mtu anageuka kuwa mwanateolojia!
[emoji3][emoji3][emoji3] ni kwasababu wengi ni wazinzi, tena hakuna watu wanaopendana na kupeana support kama wazinzi.
Halafu hao hao wanaojifanya kukemea ushoga wengi wao wanaona ni sawa kuwafukua mtaro wanawake.
Pambav zao...
 
Back
Top Bottom