Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Hoja yako haina mashiko hata kidogo, ndoa za jinsia zimepigwa marufuku kwenye maandiko matakatifu BIBLIA hakuna namna ya kuhalalisha huo ushetani,
Hilo suala la ndoa limetoka wapi? Hebu tusiwe na vichwa vizito kusoma, kufikiri na kuelewa. Ushoga unalizimisha uwepo wa ndoa?
 
Wapi imeandikwa ndoa? Kuwa shoga kunahitaji ndoa? Watu wengi humu huwa hawajui mada za nyuzi, nimeona hilo mara nyingi
nadhani ndoa huwa ni baraka na kubarikiwa sasa baraka za jinsia moja ni kitugani na baraka hapo ni ya nini kweli mashetani na wafuasi wao
 
nadhani ndoa huwa ni baraka na kubarikiwa sasa baraka za jinsia moja ni kitugani na baraka hapo ni ya nini kweli mashetani na wafuasi wao
Afadhali sasa umesema 'unadhani'. Basi tulia vizuri ili uelewe badala ya kutumia dhahania. Kuwabatiza, kuwapa sakramenti nyingine mashigo ni kuwabariki na kuwakaribisha katika familia ya Mungu, tatizo watu tumekariri ngono. Halafu mbona inaekeweka, hivi mwizi amewahi kupigwa marufuku kurudi katika njia sahihi kupitia kanisa? Wasema ungo je? Wauaji je? Kwa nini mashoga inachukuliwa kama dhambi maalum?
 
hapana sio dhambi maana mushabarikiwa hongereni sana
 
Wakatoliki kumbe ni mashoga.Roma ikisema ,imesema
 
Yaani kuna watu kama sisi hatujawahi hata ona shoga kwa macho
Ila anakuja mtu anasema eti mashoga wamekuwa wengi hadi wanatishia idadi ya wasio mashoga. Hata ikikusanywa mashoga wote wa dunia nzima hawafiki hata idadi ya wakatoliko wa uganda pekee
Wakatoliki ni mashoga.
 
Ukatoliki haukuanza mwaka 33AD.Ukatoliki ulianza baada ya upatanisho wa pili wa Niece,kipindi Cha Mfalme Constantine wa Rumi ya kale.Hii ni baada ya kuingiza mambo ya upagani na ushoga na Askofu mkuu wa Roma kujiita Papa.Dioves zilizobaki zikajitenga naye.
 
Nimesoma paragraphs mbili tu nikaacha🚮
Hata ukiacha ndugu bado ushoga utashamiri. Mimi ni msema kweli huwa ninapowaeleza ukweli ninyi mnakasirika, hapa Dar es Salaam ni vijana wangapi mashoga na wametoka dini zote Islamic na Christian?
Kwanini ninapowaeleza mnachukia kana kwamba Tanzania imejaa watakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…