Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Nimeangaliiiiiaaa uzi wakooooo
Nkaangaliiia na hiyo picha yakooooo
Nkaona nkuache tu
 
Uzi wako ni uchafu na ushetani mtupu! Umeshindwa hoja hapa, ni bora ukaachaana na huo uchafu, na hii inaonesha mwisho wa dunia unakaribia. Kama unadhani kwa kufanya hivyo Papa atapata waumini wengi basi hiyo dhana ni potofu na matokeo itakuwa ni kinyume chake yaani kukimbiwa na waumini wengi.
Mimi ni msema kweli, ukinijibu vizuri tutaenda vizuri ila ukinipeleka vibaya nitaenda vibaya, niko vizuri sana kwenye kauli nina mdomo mchungu sana, naona ukweli wangu unawauma sana, itabidi mzoee Ushoga kama mlivyozoea VVU
 
Nimeangaliiiiiaaa uzi wakooooo
Nkaangaliiia na hiyo picha yakooooo
Nkaona nkuache tu
Umegundua facts zangu sio kwasababu mimi ni msema kweli wengi wanaopingana na mimi nawatizama tu kwa mshangao
 
Nashukuru mungu kwa kunifumbua akili mapema nikaachana kabisa na mambo ya dini nikiwa katika umri mdogo sana.
 
Nikweli ndugu lakini dunia ya leo sio ya Watakatifu tena ukifuata maandiko utakwama, jiulize watu wangapi hivi sasa ni waovu, nenda mahakamani uone kesi za uovu nadhani utapata jibu kuwa dunia ya sasa siyo
Ni kweli mkuu ila kiongozi anaeita watu kwenye wokovu wa maovu nafikiri anapaswa kukemea hilo na sio kulea
 
Yakweli hayo mkuu? Alimnyonya kwasababu gani

Yameandikwa kwenye vitabu vyenu halafu unauliza kama ya kweli? Ni uchafu ambao unapaswa kusemwa, na sio hilo tu, kagegeda katoto ka miaka 9, hebu waza mzee wa miaka 50 anachomeka dushe kwa katoto
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:

Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
Vijana kama Malaria 2 hawapendi huu ukweli.....
 
Kuna siku papa atawapulizia filimbi wakatoliki
Kwamba sasa ni ruksa maana mambo uanza kidogo kidogo.
Lengo la dini ni lipi? Ni kwa ajili ya 'Watakatifu' pekee au kwa ajili ya Kuwatenga wale wanao onekana kuwa wakosaji na wadhambi?
Daktari yupo kwa ajili ya watu wazima wenye afya zao kamili? au Daktari yupo kwa ajili ya watu wagonjwa wenye uhitaji wa matibabu?

Dini inayotafuta na kuhubiria watakatifu na kufukuza na kuwatenga wa dhambi hiyo siyo dini. Hiyi ni Club ya Mpira au Chama cha siasa.
Dini inapaswa kuwa kimbilio la wezi, mashoga, majambazo na kuanzia hapo dini hiyo inatakiwa ifanye kazi yske, siyo kuwafukuza
 
Idadi ya mashoga imeongezeka sana kiasi kwamba anaumiza sana akili afanyaje, manake akitenga atabakiwa na waumini wachache sana
Hiyo idadi haijaongezeka kwa bahati mbaya, mitazamo kama hii yako inatoa fursa nzuri ya ongezeko la mashoga.
 
Ukatoliki siyo Mali ya PAPA FRANSIS, UKATOLIKI ulikuwepo tangu mwaka 33 AD.
Hivyo, kama akikosea katika maamuzi marekebisho yatafanywa na watakaofuatia baada yake.
Kwakuwa UKATOLIKI siyo Mali ya PAPA FRANSIS, ni Upumbavu kuikimbia Mali yako Kwasababu ya majungu ya WATU.
Ila kwenye imani ya ukristo viongozi wa dini wana nguvu sana kuliko hata maandiko ya dini yenyewe.
 
Papa amechanganyikiwa na hizi kesi za ushoga anaona vijana wote wanakimbilia kutafunana wao kwa wao sasa anasikitika watabebwa na dini gani
Kama kuna ulazima sana wa kuwa na dini kwa hao mashoga basi si bora waanzishe dini yao ambayo itakuwa na sheria zenye kuendana na wao, na kama unavyosema wako wengi hivyo watakuwa na waumini wengi.
 
Ushoga ndio dhambi pekee?

Je shoga anatakiwa atengwe na jamii?

Hata tusiende mbali kwenye familia kukiwa na shoga anatengwa au kuuwawa?

Dini zote zinatupokea bila kujali udhaifu na dhambi zetu kwa nini ushoga ndio inaonekana haifai?vipi kuhusu wizi,ukahaba,uuaji,ufisadi na kadhalika?hizo sio dhambi

Nafikiri ifike pahala kazi ya kuhukumu aachiwe Mungu kama binadamu tuishi tu kwa kuvumiliana na kuchukuliana.
Zote dhambi na siku zote viongozi wa dini hukemea hizo dhambi, watu washachomwa hadi moto kwa wizi.
 
Watu wengi sasahivi wanafirana sana kiasi kwamba yeye mwenyewe kachanganyikiwa afanyaje
Mkuu ushoga haujawahi kuwa kitu cha kawaida hadi sasa mashoga wanaona wanatengwa ndio maana inatumika jitihada ili watu waone ushoga ni kitu cha kawaida tu, sasa wewe unataka kama kutuaminisha kwamba ushoga umetawala kumbe sivyo.
 
Back
Top Bottom