Hiyo taarifa haina ukweli wowote
Uzi wake ni zile nyuzi za unaambiwa, amini usiamini, nilisikia kuwa kwambaametumia mkurupuko kuleta bandiko
umetumia mkurupuko wa 5G kuleta bandiko la upotoshaji kutoka kwenye chanzo na mwandishi potoshi.Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.
Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua mapenzi ya namna hiyo.
Poleni sana wakatoliki.
====
"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.
Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".
Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.
Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya maombi yaliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.
Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na kiongozi wa kiroho, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.
BBC
barua hii hapa aliyotumiwa na ma cardinal watano akiulizwa maswali mbali mbali ikiwemo hilo la ndoa za jinsia moja, pamoja na majibu yakeLeta hata ushahidi basi iwe website link, picha au screenshot kusudi utuamshe hisia kali za kuchangia vitu heavy....
Wala hajapendekeza. Fuatilieni habari kwa undani na upana wake. Kasema, tena karudia kauli yake ya awali kuwa tusiwatenge wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Tena ikiwezekana tuwape baraka maana ni wakosaji.mimi nadhani pope amezeeka vibaya, 2021 alipinga ila saivi amebadilika.
amependekeza lakini, sio kwamba ndo kapitisha rasmi
BBC na wao picha waliyoweka ikiwa na heading "Kabisa katoliki kubariki ndoa za jibsia moja " nao wamekurupuka ?umetumia mkurupuko wa 5G kuleta bandiko la upotoshaji kutoka kwenye chanzo na mwandishi potoshi.
nimesoma mara 13 kuona nukuu ya kuruhusu jambo hilo.
Naona msukumo wa kipepo ndani yako ama unatamani kua miongoni mwa wanajamii wa jinsia moja?
na sasa unatafuta uungwaji mkono?
Shikamoo dada , mwisho wa pisi kali kuringa ndio π₯²π₯²π₯²π₯²
πππππ RC Kanisa la wasengerema πππππNafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.
Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua mapenzi ya namna hiyo.
Poleni sana wakatoliki.
====
"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.
Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".
Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.
Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya maombi yaliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.
Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na kiongozi wa kiroho, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.
BBC
Mkuu Acha zako bhna ubadili mwenendo kwa kupewa Baraka Ya kuozeshwa?...Haviendani hata kidogo na nilichosema. Kanisa limeweka bayana kuwa mapenzi ya jinsia moja ni dhambi na halitambui ndoa za jinsia moja. Wanaihitaji baraka koz uenda wakabadili mienendo yao na kurudi ktk njia iliyonyooka.
Nilitaka nikabatize mtoto wangu huko Sasa nimeghairi naenda Lutheran π€ͺπ€ͺKifuatacho RC kinasikitisha
Acha chuki dhidi ya imani za wenzioSiipendi RC, siipendi Ijumaa
Nilishasema hakuna ulevi mbaya duniani kama diniYaaani watasema...
Tusubiri wakuje
BBC waache kushabikia wanachokipenda kweli?BBC na wao picha waliyoweka ikiwa na heading "Kabisa katoliki kubariki ndoa za jibsia moja " nao wamekurupuka ?
Kwahiyo kupendekeza ni sawa?mimi nadhani pope amezeeka vibaya, 2021 alipinga ila saivi amebadilika.
amependekeza lakini, sio kwamba ndo kapitisha rasmi