Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

Pape Sakho ashinda goli bora la mwaka CAF 2022

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1658434586812.png

Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), Julai 21, 2022.

Tuzo hizo zimetolewa Rabat Nchini Morocco ambapo Sakho alikuwa akiwania nafasi hiyo dhidi ya Gabadinho Mhango wa Orlando Pirates na Zouhair El Moutaraji wa Wydad Athletic Club.

Sakho alilifunga bao hilo wakati #Simba ikishinda 3-1 dhidi ya ASEC Mimosas mchezo wa Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam, Februari 13, 2022
 
Kumekuchaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!

Tumechukuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!

Sakhoooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!

[emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
FB_IMG_16584344691246418.jpg
FB_IMG_16584343123750708.jpg
 
Back
Top Bottom