Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.

Kwa nini uombe msaada wa Rais?

Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?

Bado sielewi aisee!
Wakati tunajadili haya mambo tufike Mahala tufikirie na Mazingira waliyonayo akina Lisu kwa sasa. Wewe unajua aliyeiba hiyo Passport? Kwamba Lisu hajui taratibu?

Umeajuaje kwamba ameomba msaada toka kwa Rais baada ya wanao dhani ni Watanzania zaidi wamemkatalia kumpa Passport nyingine??? Huenda pia walioiba wanajua fika wanachokifanya. Ni wazo tu
 
Sijaelewa kabisa!

Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
...
Kwahio unataka kutuambia hakuwa na passport au ime-expire?
 
Tuache siasa, hujui hata alisema atarudi lini. Waacheni wapinzani wahoji serikali, ambako kuhoji kwake waita kuropoka, uliyepo madaraka uwe waleta majibu sahihi.
Mkuu kuna watu Wana hofu Sana kwa Rais kukutana na Kiongozi/Viongizi wa juu wa Chadema. Na hili ni wazi kuwa watesi wao wanajulikana kupitia Viongizi hao.

Hofu yao kuu ni kwamba wanafahamu mwenye Mamlaka anaweza kubadili upepo wakati wowote na watesi wale wakajikuta wakiwa kwenye hatia. Na mwisho wakajikuta wakiwa magerezani.
 
Wakati tunajadili haya mambo tufike Mahala tufikirie na Mazingira waliyonayo akina Lisu kwa sasa. Wewe unajua aliyeiba hiyo Passport? Kwamba Lisu hajui taratibu? Umeajuaje kwamba ameomba msaada toka kwa Rais baada ya wanao dhani ni Watanzania zaidi wamemkatalia kumpa Passport nyingine??? Huenda pia walioiba wanajua fika wanachokifanya. Ni wazo tu
Si ndo maana nimeuliza! Au sikupaswa hata kuuliza?
 
Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.

Kwa nini uombe msaada wa Rais?

Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?

Bado sielewi aisee!
Mkuu hiyo passport iliibiwa kwa sababu .... hizo process zipo ila zinaweza zisifuatwe kwa sababu zao.

Unakumbuka Jenerali Ulimwengu kabla ya kumvua Uraia walimuibia Passport kwanza.

Recently, Mzee Mwanakijiji alilia humu kuwa mwaka wa pili sasa hawajampa passport .... wanamzungusha wakati wengine huku Ughaibuni hazikuchukua hata miezi 3.

Unafikiri wakati wa JPM kama Mange angeenda kuomba passport mpya angepewa...!!? I doubt.
 
Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?

Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.

Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Hapo umemaliza. Hasa sentence kuna uwezekano mkubwa alikuwa anaomba passport nyingine alikuwa anakataliwa. Sasa kakutana na mkuu wa hao majamba
 
Watu wajuajiaji unauhakika kuwa Lissu wajawahi toa taarifa kwenye mamlaka husika, he is not stupid as you think ndugu

Leagal documents inapopotea hatua ya kwanza ni kitoa taarifa polisi na taasisi husika, anajua madhara iliwa pass hiyo itaingia mkononi mwa watu wabaya.

Umesoma vizuri na kuelewa nikichokiandika?
 
Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.

Kwa nini uombe msaada wa Rais?

Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?

Bado sielewi aisee!
Kuna uwezekano amefuata taratibu zote,lakini hawampi ushirikiano au hawataki kumpatia. Ndio hapo kakutana na uongozi wa juu,imekuwa fursa kwake. NB:- walioipiga ndio hao wanaotoa
 
Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?
...
Sawasawa....
 
Mwenye kuweza kujibu hayo maswali kwa ufasaha ni Lissu mwenyewe...

Na mwenye kutueleza anaishi vipi ugenini pasipokuwa na pasi ya kusafiria ni Lissu mwenyewe pia...
 
Mwenye kuweza kujibu hayo maswali kwa ufasaha ni Lissu mwenyewe...

Na mwenye kutueleza anaishi vipi ugenini pasipokuwa na pasi ya kusafiria ni Lissu mwenyewe pia...
Kuishi ugenini bila pasi ya kusafiria unaweza. Kwa sababu pasipoti siyo kibali cha kuishi ugenini.

Pasipoti ni kitambulisho tu kinachokuwezesha kusafiri kimataifa.
 
Just curious alisafiri na hati ipi kutoka Ujerumani mpaka Brussels?

Hata ukiwa na visa ya Schengen lazima uonyeshe pasipoti.

Je alifuata utaratibu wa kawaida ukipoteza pasipoti.

Je alinyimwa?Tusiende kwa assumption.
 
Back
Top Bottom