Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kumbe Samia ni mama yenu kipenzi?Uvccm wamefuraaaaa lisu kukutana na mama yetu kipenzi
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Samia ni mama yenu kipenzi?Uvccm wamefuraaaaa lisu kukutana na mama yetu kipenzi
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Hujui pickpocteting ipo hata huko nchi za magharibi?Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Mkuu Nyani Ngabu umeuliza maswali ya msingi sana.Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Swali la aliyeiba ni nani, hata mhusika hawezi jua. Imagine umepanda mwendokasi na kuibiwa simu...unaweza kujua aliyeiba ni nani?Umeuliza Maswali ya maana kabisa, ila jiandae kwa Dhihaka na Matusi kutoka kwa Wafuasi wake ( wao ) wenye Uvivu wa Kufikiri lakini ni wepesi wa Kukurupuka.
Unavyobwata sasa utafikiri mtu kuibiwa ni kitu kigeni.Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Wazungu unaowaponda leo ndio wanaosapoti bajeti ya Nchi yako kila kukicha kwa kujificha na kauli ya Wahisani...Nilifikiri chadema mnajiona wanyonge kwa wazungu tu, kumbe hata kwa wakenya?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mpigie atakueleza mwenyeweSijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Kama hujawahi kukutana na hiyo hali ya kupoteza/kuibiwa huwezi kujua. Hata kama una chuki na huyo Bwana, bora ungekaa kimya.Kwenye hili Lissu kaibiwa au kapoteza kwa uzembe wake na anapaswa kuwajibika kwa uzembe wake huu!
Passport ni kama kitambulisho kinapaswa kutunzws kwa umakini mkubwa na anayepoteza hati ya kusafiria huchukuliwa kama mtu mzembe na asiyejali!
Lissu kwenye hili ameonesha udhaifu mkubwa sana kushindwa kutunza kitu muhimu kama hiki labda itaonekana sio mzembe kama ana ushahidi alivamiwa na kuibiww hiyo hati!
Pengine Sukuma gang wa ujeremani wamemuibia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una Elimu kubwa ila ulisoma shule za hovyo hovyo chuo kikuu wanaelekeza kipo karibu na Gereji sasa sio kila mtu inatakiwa umquote humu wengine soma tuu..Sio sisi sema mimi. Usitujumlishe wote kwenye kushobokea wakenya.
Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?
Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.
Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Watanzania watu wa ajabu sana wanashangaa kupotea passport 😁😁😁Kama hujawahi kukutana na hiyo hali ya kupoteza/kuibiwa huwezi kujua. Hata kama una chuki na huyo Bwana, bora ungekaa kimya.
Tukifuatilia maisha yako umepoteza simu mara nyingi tu ntingine kwa uzembe (gross negligence)nyingine kwa kutokujua. Lakini hakuna aliyekusimanga kama hivi. Usimfanyie mwenzio kile usichopenda kufanyiwa (golden rule)
Sijui Mataga na CHAWA Kama watakuelewa.Tundu Anthipas Lissu ni mwanasheria na msomi. Sina wasiwasi kuwa alishafuatilia taratibu zote, lakini mamlaka zinazohusika haziwezi kufanyia kazi maombi yake kwa hofu iliyojengwa na watawala hasa utawala uliopita wa ile awamu ya giza.
Waliomwibia Lissu passport yawezekana walitumwa kumdhuru na/au kumwibia nyaraka mbalimbali anazofanyia kazi. Nina imani kuwa hizo nyaraka na passport zipo Tanzania zimekaa tu mezani kwa mtu.
Kwa mazingira hayo, ilifaa Lissu apeleke ombi lake kwa Rais ambaye anaweza kutoa tamko tu na wahusika wakaondoa hayo mambo machafu yanayoendelea kuiweka Tanzania katika zama za ujinga na giza.
Kwanini alipigwa risasi, kwanini alifukuzwa bungeni, kwanini alinyimwa mafao yake, kwanini alimyimwa matibabu.. ukiyajibu hayo utakuwa umepata jibu la swali lako...Nani sasa anayemkatalia na anamkatalia kwa misingi gani?
Na kwa mtu ambaye hana connection na amepoteza pasport utaratibu ukoje?Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?
Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.
Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Yaani unawashobokea nyang'au? Ha ha ha.Una Elimu kubwa ila ulisoma shule za hovyo hovyo chuo kikuu wanaelekeza kipo karibu na Gereji sasa sio kila mtu inatakiwa umquote humu wengine soma tuu..
Huku kunaitwa kutafutiana sababu......mama asipolitekeleza iwe ooh! ooooooh!Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!