Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Wew umekuwa mgeni na nchi mpaka unashangaa kumtumia rais ili aipate passport yake?
Au unadhani yupo kule kwa kupenda kwake?
Hoja za humu ni kiboko mtu anaanzisha uzi wa kutaka kujua passport ya mtu mwingine ambae mazingira yake ya kisiasa yanajulikana...ndio maana Wakenya wapo busy kuutangaza Mlima kilimanjaro upo Kenya sisi na hoja za kijinga jinga tuu..
 
Wew umekuwa mgeni na nchi mpaka unashangaa kumtumia rais ili aipate passport yake?
Au unadhani yupo kule kwa kupenda kwake?
Passport hazipaswi kutolewa kutokana na mapenzi au matakwa ya mtu binafsi.

Zinapaswa kutolewa kulingana na vigezo vilivyowekwa kisheria.
 
Nchi imepoa san arudi tu mapem, kuhusu utaratibu wa passport lbd yeye kaona ndio njia ya kujihakikishia usalama zaidi.
 
Sijaelewa kabisa!

Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.

Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?

Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?

Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?

Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Issue siyo utaratibu wa kuomba passport, issue ni nani anayeomba. Kwa akili ya kawaida wewe ungekuwa ofisa pale uhamiaji akaja TAL kuomba psport ungemjazia makaratasi na kumuwezesha kupata passport kirahisi tu.
Naamini haitokuwa rahisi na hakuna mtumishi yeyote uhamiaji angechukua hiyo risk, labda Dr mwenyewe
 
Ninachokiona hapo ni kuwa Tudu Lissu hakutegemea kama mama atakutana nae, alipoomba kukutana nae alikuwa katupa turufu na alishakuwa na jibu la kukataliwa kuonana nae kwa 100%, ili apayuke kisiasa. Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.
Ww bb kizee tafuta wa kumalizia uZee huo

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Inaweza kuwa kweli passport yake imeibiwa au imepotea, Hilo analijua yeye. Lakini kitendo Cha kukaa kimya bila kutoa taarifa Hadi alipokutana na Rais na kumuomba msaada amsaidie hakijakaa vizuri.

Vinginevyo angesema amepata vipingamizi Gani na akiba nani wanamkwamisha kupata passport yake.
Unajuaje kama hakutoa taarifa

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Nyie kumbe hamumjui mr belgiji!

Yule kanogewa na amterdam kwahiyo hataki kurudi.

Hiyo ya kusema pasport imepotea ni gia tu ili awe anasema sirudi sababu sijapewa pasport yangu,!

Hivi mtu anamuamrisha rais amkaribishe nyumbani, kwani alipokuja akazurura mwezi mzima kwenye kampeni alikaribishwa na nani?
 
Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?

Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.

Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Elimu ya kutosha labda kichwa kiwe tikiti
 
Back
Top Bottom