Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Atasafirije kurudi nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hao jamaa pingapinga FC unapoteza muda, walilolipinga kuhusu kumwomba rais amsamehe Mbowe Sasa baada ya tundu kumwombea kwa rais woote wamegeuka wanashangilia Sasa.Nani sasa anayemkatalia na anamkatalia kwa misingi gani?
Hoja za humu ni kiboko mtu anaanzisha uzi wa kutaka kujua passport ya mtu mwingine ambae mazingira yake ya kisiasa yanajulikana...ndio maana Wakenya wapo busy kuutangaza Mlima kilimanjaro upo Kenya sisi na hoja za kijinga jinga tuu..Wew umekuwa mgeni na nchi mpaka unashangaa kumtumia rais ili aipate passport yake?
Au unadhani yupo kule kwa kupenda kwake?
Sasa na hoja za passport ya Lissu humu si ndio maana Wakenya wanatuona maboya sana Mkuu sijui nani alitudumaza...Yule bora afe kabisa hana faida kwa taifa wala familia ake
Passport hazipaswi kutolewa kutokana na mapenzi au matakwa ya mtu binafsi.Wew umekuwa mgeni na nchi mpaka unashangaa kumtumia rais ili aipate passport yake?
Au unadhani yupo kule kwa kupenda kwake?
Sio sisi sema mimi. Usitujumlishe wote kwenye kushobokea wakenya....ndio maana Wakenya wapo busy kuutangaza Mlima kilimanjaro upo Kenya sisi na hoja za kijinga jinga tuu..
👏 👏👏👏Sio sisi sema mimi. Usitujumlishe kwenye kushobokea wakenya.
Issue siyo utaratibu wa kuomba passport, issue ni nani anayeomba. Kwa akili ya kawaida wewe ungekuwa ofisa pale uhamiaji akaja TAL kuomba psport ungemjazia makaratasi na kumuwezesha kupata passport kirahisi tu.Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Ww bb kizee tafuta wa kumalizia uZee huoNinachokiona hapo ni kuwa Tudu Lissu hakutegemea kama mama atakutana nae, alipoomba kukutana nae alikuwa katupa turufu na alishakuwa na jibu la kukataliwa kuonana nae kwa 100%, ili apayuke kisiasa. Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.
Unajuaje kama hakutoa taarifaInaweza kuwa kweli passport yake imeibiwa au imepotea, Hilo analijua yeye. Lakini kitendo Cha kukaa kimya bila kutoa taarifa Hadi alipokutana na Rais na kumuomba msaada amsaidie hakijakaa vizuri.
Vinginevyo angesema amepata vipingamizi Gani na akiba nani wanamkwamisha kupata passport yake.
Nani kwenye nchi hii angethubutu kumpa Lissu passport mpya bila rais kutia neno???Sasa raiis anatoa passport? Kwani utaratibu hsufahamiki? Namwona samia akicheza na nyani.
Ya kwanza alipewa na rais.Nani kwenye nchi hii angethubutu kumpa Lissu passport mpya bila rais kutia neno???
Ukiona huelewi jambo ujue halikuhusu.Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwa nini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Sure!Mkuu unataka narration of how TAL's passport was stolen in Germany?
Elimu ya kutosha labda kichwa kiwe tikitiKwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?
Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.
Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.