Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lissu siyo kichaa mpk aseme hivyoSasa na hoja za passport ya Lissu humu si ndio maana Wakenya wanatuona maboya sana Mkuu sijui nani alitudumaza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu siyo kichaa mpk aseme hivyoSasa na hoja za passport ya Lissu humu si ndio maana Wakenya wanatuona maboya sana Mkuu sijui nani alitudumaza...
Watu wajuajiaji unauhakika kuwa Lissu wajawahi toa taarifa kwenye mamlaka husika, he is not stupid as you think nduguInaweza kuwa kweli passport yake imeibiwa au imepotea, Hilo analijua yeye. Lakini kitendo Cha kukaa kimya bila kutoa taarifa Hadi alipokutana na Rais na kumuomba msaada amsaidie hakijakaa vizuri.
Vinginevyo angesema amepata vipingamizi Gani na akiba nani wanamkwamisha kupata passport yake.
Ni mikopo siyo hisani!Wazungu unaowaponda leo ndio wanaosapoti bajeti ya Nchi yako kila kukicha kwa kujificha na kauli ya Wahisani...
Nomebidi niangalie id yako, kuna watu comments zao unajua huyu ni mbumbu, huyu maadili hakuna, elimu sifuri, au mbita banghi ila wewe unavuta baghiUpo sahihi kabisa alichokifanya kundu ni mambo ya kitoto kweli kweli.
Mbona mnawaita wahisani?
Lissu yupo sahihi sasa sisi ndio tujadili imekuaje kaomba Mkwaju wakati inajulikana wapo wahuni wachache walitaka kujimilikisha Tanzania kama yao pekee sasa hivi wanaishi kwa kujificha kwa aibu..Lissu siyo kichaa mpk aseme hivyo
Hujawahi kuwa sawa Mkuu mimi mwanzo nilidhani ni roboti...Yaani unawashobokea nyang'au? Ha ha ha.
Kwani amesema ameibiwa mwezi uliopita? Labda aliibiwa kipindi jiwe yupo hai? Maana ameondoka nchini punde baada ya uchaguziKwamba Jiwe alifufuka mwezi mmoja uliopita!!?
Ndugai alikuwa shetaniLissu yupo sahihi sasa sisi ndio tujadili imekuaje kaomba Mkwaju wakati inajulikana wapo wahuni wachache walitaka kujimilikisha Tanzania kama yao pekee sasa hivi wanaishi kwa kujificha kwa aibu..
Kazi ya wale vijana wakijani ili asirudi nyumbani. 🤔Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie
Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Nani sasa anayemkatalia na anamkatalia kwa misingi gani?
Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?
Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.
Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Mbona unaonekana ni mwelewa na una exposure kubwa tu.sasa wewe usichoelewa ni nini.inawezekana kaibiwa na watu wasiotaka arejee nchini kaenda ubalozi kanyimwa.pia ki protocol passport ni ID ya mtanzania ukiwa nje kwahiyo kama huna passport ya Tanzania wewe sio Mtanzania inaonekana umejilipua.kwahiyo kama ingekuwa mama anaonana na jumuiya ya diaspora wa kitanzania huko Brussels Lissu asingeruhusiwa kwenye huo mkutano.Busara imetumika yeye kukutana na Prezidaa.Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwa nini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Tafuta ushahidi mmpereke mahamani. Lakini usiwe ushahidi kama wa kina kingai & urio wa kubumbaUnafia mapenzi ya lisu, usichokijua ni kuwa mbowe ndiye muuaji