myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Watu walimuomba Rais aliyepita choo pale Kisutu,,itakuwa ajabu passport..wangapi walikuwa wanakimbilia jukwaa na kilia..Walau umeona kuwa si kitu cha kawaida kuomba msaada kwa Rais kupata passport.
Ungeendelea na mambo yako tuu sijawahi kukuelewa....Unafikiri uko sawa sio?
Unadhani na mimi nakuelewa?Ungeendelea na mambo yako tuu sijawahi kukuelewa....
SawasawaWew umekuwa mgeni na nchi mpaka unashangaa kumtumia rais ili aipate passport yake?
Au unadhani yupo kule kwa kupenda kwake?
Unajua ukiibiwa au kupoteza pasi,utaratibu wake kupata nyingine ngumu sana,sasa kwa mtu kama lissu,ndio kabisa,upo uwezekano jamaa wameikalia,ila rais akisema mpeni wanampaSijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
baghi ndio nini, zumbu kuku wewe. Kielimu hunizidi, kimaadili nimekuacha mbali choko wewe!Nomebidi niangalie id yako, kuna watu comments zao unajua huyu ni mbumbu, huyu maadili hakuna, elimu sifuri, au mbita banghi ila wewe unavuta baghi
Bro inawezekana kabisa jamaa wameikalia,mimi nilipoteza na nilifata taratibu zote,na kuweka nyaraka zote but jamaa waliikalia mpaka nilipata connection nilimwambia magu,baada ya dakika 30nilipigiwa simu nije dar kuichukua,na nilifanya hivyo nikapewaTaratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwa nini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Kuishi ugenini bila pasi ya kusafiria unaweza. Kwa sababu pasipoti siyo kibali cha kuishi ugenini.
Pasipoti ni kitambulisho tu kinachokuwezesha kusafiri kimataifa.
Angeomba msaada mtu mwingine wangeshabikia na kuzisema taasisi husika. Ila kwakuwa ni Lissu......Watanzania wengi walioko nje ungetegemea kuandika "Makubwa kuliko haya..Kama mtu kaibiwa begi lenye vitu vyake ikiwepo wallet yenye passport anapaswa kutumia lugha gani kuwasilisha??
Wenzako wanabeba box begani wewe unabeba box utosini ndiyo maana akili zimegadamizwa.
🙏Kupoteza ni bahati mbaya always,
Hii inaonesha walio nje wengine wanapata shida kupata even ku renew their passports, hata yule dada mange alifanikiwa kupata / renew yake alipoenda kule.
Titi la mama litamu,hata likiwa la mbwa.
Nilijua ni mm tuDuh!
Sijakuelewa aisee.
Kuna watu mna vichwa vigumuu!!!Sasa raiis anatoa passport? Kwani utaratibu hsufahamiki? Namwona samia akicheza na nyani.
Mishushu yenu ndio mijizi mikubwa. Tundu Lissu anajua mwizi, na wapi passport yake ipo, ndio maana kaomba arudishiweSijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Itakuwa cha pombeSijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Kwa hiyo wale ambao hatujuani na watu walioko kwenye hizi idara nyeti ndo hatuna letu kabisa?Kila mtu hula kwa urefu wa kamba yake
Lissu kaona opportunity kamuomba raisi amsaidie kupata passport...mimi nilikuwa na schoolmate pale immigration siku tukaonana yeye ndo akaniomba anisaidie kupata passport ikawa chap chap tu nikapata
Kwani waliotaka kumtoa uhai Lissu ilikuwa ni misingi gani? Sasa we unashangaa kumkatalia passport?Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwanini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Yamkini kafuata utaratibu na kashindwa!Utaratibu unajulikana kabisa.